Kwenye maendeleo yoyote kuna stages, sasa mambo yanayotokea Tanzania sio kwamba hayaonekani, hizo ndio nyenzo zilizopo hivi sasa kuangalia uchumi wa nchi yoyote ile unakua. Kuna nchi ambazo uchumi wao unadorora zaidi ya nyingine hivyo mbinu ndio zinatofautiana. TZ tunapiga hatua hasa katika kurahisisha uchukuzi wa bidhaa pamoja na usafiri wa uhakika mara unapohitajika pamoja na sera za kuboresha mashule na mahospitali.Naona mapichapicha tu!!
Hawa jamaa safari hawauziki kabisa!!
Eti tumeingia uchumi wa kati kabla ya wakati
Hawa jamaa sijui wanadhani bado tuko katika ile dunia ya kusikiliza RTD tu huku tv ikiwepo Ikulu tu!!!
Inabidi wachunguzwe vizuri, lazima wamtoa rushwa ili world bank watangaze huo upuuziNaona mapichapicha tu!!
Hawa jamaa safari hawauziki kabisa!!
Eti tumeingia uchumi wa kati kabla ya wakati
Hawa jamaa sijui wanadhani bado tuko katika ile dunia ya kusikiliza RTD tu huku tv ikiwepo Ikulu tu!!!
Upo sahihi kwa uchaguzi kama ule wa Serikali za mitaa ambao Wakurugenzi waliwakimbia na kufunga ofisi wapinzani watashindwa tu
Kama mnajiamini hivyo, ruhusuni tume huru muone jinsi watanzania walivyo wachoka,nakuambia mbele ya tume huru hamfikishi hata 45%, watanzania wa Leo sio wajinga. Hujui hata indication za uchumi, ukiwa kwenye boom stage.Wewe unafikiri rushwa tu, Tanzania kumenoga wewe kalaga baho. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayeinyima CCM kura.
Tunadadhili wenyewe inakuaje deni la Taifa limeongezeka mara dufuKwenye maendeleo yoyote kuna stages, sasa mambo yanayotokea Tanzania sio kwamba hayaonekani, hizo ndio nyenzo zilizopo hivi sasa kuangalia uchumi wa nchi yoyote ile unakua. Kuna nchi ambazo uchumi wao unadorora zaidi ya nyingine hivyo mbinu ndio zinatofautiana. TZ tunapiga hatua hasa katika kurahisisha uchukuzi wa bidhaa pamoja na usafiri wa uhakika mara unapohitajika pamoja na sera za kuboresha mashule na mahospitali.
Miradi mingi ya kimkakati tunafadhili wenyewe mfano SGR.
Tunapotaka kwenda kwenye uchumi wa juu ni lazima deni liongezeke, nchi zote zinakopa lakini deni letu halijaongezeka mara dufu kama unavyodai. Wacha uonge weka takwimu?Tunadadhili wenyewe inakuaje deni la Taifa limeongezeka mara dufu