Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,986
Ikiwa ni miezi kadhaa sasa tangu Meya Boniface Jacob apeleke mashitaka kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma juu ya uhalali wa jina la RC Makonda,Tume mpaka leo imetoa mrejesho gani?
Pia mjiulize uchaguzi wa marudia (kama utakuwepo) wasimamizi wa uchaguzi watakuwa ni kina nani kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi iliyopo?
Nawashauri msijisumbue kwenda Tume wala kufungua kesi mahakamani na zaidi hata uchaguzi wa wabunge kwa majimbo yaliyo wazi msishiriki kabisa.
Nawasisitizia msishiriki chaguzi zozote zijazo chini ya Tume hii na sheria ya sasa ya uchaguzi na badala yake muwaache wajitekenye na kucheka wenyewe.
Hata hivyo,ili kuondoa dhana kuwa wapinzani wanalalamika tu bila kuchua hatua,nawashauri wabunge wa upinzani mmoja wenu apeleke hoja binafsi kutaka mabadiliko ya katiba yatakayoruhusu kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi au hata hoja ya kutaka sheria ya uchaguzi ibadilishwe kwa lengo la kuwaondoa wakurugenzi wa Halmashuri na watendaji wa kata kama maafisa wa Tume ya Uchaguzi kwa maana ya sheria ya uchaguzi kutoendelea kuwatambua kana wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo na kata za uchaguzi.
Wakikataa hoja zenu watawapa uhalali wa kutoshiriki uchaguzi na zaidi uhalali wa kutowabeza na kujisifu kushinda uchaguzi.
Pia mjiulize uchaguzi wa marudia (kama utakuwepo) wasimamizi wa uchaguzi watakuwa ni kina nani kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi iliyopo?
Nawashauri msijisumbue kwenda Tume wala kufungua kesi mahakamani na zaidi hata uchaguzi wa wabunge kwa majimbo yaliyo wazi msishiriki kabisa.
Nawasisitizia msishiriki chaguzi zozote zijazo chini ya Tume hii na sheria ya sasa ya uchaguzi na badala yake muwaache wajitekenye na kucheka wenyewe.
Hata hivyo,ili kuondoa dhana kuwa wapinzani wanalalamika tu bila kuchua hatua,nawashauri wabunge wa upinzani mmoja wenu apeleke hoja binafsi kutaka mabadiliko ya katiba yatakayoruhusu kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi au hata hoja ya kutaka sheria ya uchaguzi ibadilishwe kwa lengo la kuwaondoa wakurugenzi wa Halmashuri na watendaji wa kata kama maafisa wa Tume ya Uchaguzi kwa maana ya sheria ya uchaguzi kutoendelea kuwatambua kana wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo na kata za uchaguzi.
Wakikataa hoja zenu watawapa uhalali wa kutoshiriki uchaguzi na zaidi uhalali wa kutowabeza na kujisifu kushinda uchaguzi.