Wapinzani it is too late to take political advantage, wekezeni kwenye agenda za maana

Mimi nawauliza kwa nini mnatudhalilisha hivi? nchi inaonekana watu wote hamnazo,kwani yeye ni wa kwanza kuugua mbona huwa tunaugua ni kitu cha kawaida,
Nyerere uliugua taifa lilifahamishwa, tuliimba pambio na maombi ya kutosha tulipeleka kwa Mungu ila Mungu akampenda zaida,
Mkapa hali kadharika,Kikwete nae pia, kwa nini sasa? mnahangaika kuficha jambo la kawaida! hamuoni tunavyo sanifiwa, kwa kuwa hatuwezi hata kuhoji baba yetu yuko wapi?.
 

Attachments

  • Ewp5u0VXIAI2U4l.jpg
    Ewp5u0VXIAI2U4l.jpg
    160.6 KB · Views: 1
Hakuna anayesema ccm haina wapiga kura, ila sio kwa yale matokeo ya juzi na uchaguzi wa SM. Hakuna uwezekano tena wa ccm kushinda kwa zaidi ya 50% kihalali ndani ya nchi hii.
Kwani huko mwanzo walikuwa wanashinda kihalali?
 
Mimi nawauliza kwa nini mnatudhalilisha hivi? nchi inaonekana wote hamnazo,kwani yeye ni wakwanza kuumwa mbona huwa tunaugua ni kitu cha kawaida kuugua, Nyerere uliugua taifa lilifahamishwa tuliimba pambio na maombi ya kutosha tulipeleka kwa Mungu ila Mungu akampenda zaida,Mkapa hali kadharika,Kikwete nae pia kwa nini sasa? mnahangaika kuficha jambo la kawaida! hamuoni tunavyo sanifiwa, kunahitajika kauli rasmi ya serikali mambo yanaisha.
Una uhakika katika hizo awamu za Nyerere na Mkapa walitangaza kila pale rais alipoumwa? kwa sababu kwenye kitabu cha Marehemu rais mstaafu Mkapa ameeleza kwamba kuna kipindi alikuwa anaumwa na hadi kufanyiwa operation ila umma haukutangaziwa.
 
Tofautisha sasa na jana,kuna mabadiliko makubwa sana kiteknolojia,mawasiliano,miundombinu mambo mengi mno ukitaka tuishi kama dhama hizo haitawezekana hata siku moja.
 
Hapana aisee toka tarehe 27/02 . Kawaida mgonjwa akilazwa ni siku tatu au nne tunam discharge. Sasa hii gonjwa sijaelewa.
Wewe ni Daktari nini mkuu?

Hivi mkuu kabla ya huo uvumi wa kwamba rais mgonjwa yupo Kenya,je wewe binafsi ulikuwa unafikiria huu ukimwa wa Rais?
 
tofautisha sasa na jana,kuna mabadiliko makubwa sana kiteknolojia,mawasiliano,miundombinu mambo mengi mno ukitaka tuishi kama dhama hizo haitawezekana hata siku moja.
Sijasema tuishi kama zama hizo ila nimekujibu pale uliposema kwamba hizo awamu zilizopita tulikuwa tunatangaziwa rais anaumwa.
 
Hujaona agenda ambazo ameanisha mtoa mada? Mnatakiwa mrudishe imani kwa wananchi. Kama mna aminika kwa wananchi hakuna mtu wa kuwadhulumu.

Turudushe imani kwani imepotea? Kaingia rais mwenye kiburi cha madaraka, asiye na uwezo wa ushawishi wala ushindani wa kisiasa, anatumia madaraka yake kushurutisha atakacho na kuhujumu kila asiyemsujudia. Katika mazingira hayo amepoka maamuzi ya wananchi kuamua watakacho, na sasa vyombo vya dola ndio imekuwa sehemu ya siasa za nchi hii. Kimsingi hakuna siasa nchi hii kwa saasa, bali kuna siasa za udictator uchwara.
 
Nilicheka sana nilipomsikia Mnyika anakitambulisha chama chake kama ni chama kikuu cha upinzani.

Siasa ni mchezo wa maonyesho na kuvizia fursa zinazojitokeza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom