Wapinzani it is too late to take political advantage, wekezeni kwenye agenda za maana

Haya ndio aliyosema Mkapa kwamba ukiwa rais watu wanachukulia wanakumiliki,hivi ni kiwango gani cha kuumwa ambacho wananchi tunatakiwa kujua? Au hata kama anaumwa na jino?

Maswala ya kuumwa yako kwenye katiba hivyo tusitumie hisia binafsi. Kama hatupendi basi tubadilishe katiba maana tusikofuata katiba ni dharau kwa wananchi wote. Ndiyo maana kuna raisi mmoja kama hutaki kuweka mambo sawa unaweza kutafuta kazi nyingine.
 
..nadhani anatakiwa ajitokeze wananchi wake wamuone.

..kwani kitu gani kinamzuia asijitokeze?
 
Maswala ya kuumwa yako kwenye katiba hivyo tusitumie hisia binafsi. Kama hatupendi basi tubadilishe katiba maana tusikofuata katiba ni dharau kwa wananchi wote. Ndiyo maana kuna raisi mmoja kama hutaki kuweka mambo sawa unaweza kutafuta kazi nyingine.
Sina tatizo na hilo, ila ndio nimeuliza ni kwa kiwango gani cha kuumwa ambacho wananchi tunatakiwa kuambiwa? maana inawezekana anaumwa ila ndio kama alivyoeleza Makamu wa rais hivyo si tatizo la kulazimika kutangaza kuwa rais mgonjwa ila huku ndio tukawa tunatumia hisia kuona rais ni mgonjwa kiasi saaana kiasi cha kuhitajika wananchi kutangaziwa.
 
..nadhani anatakiwa ajitokeze wananchi wake wamuone.

..kwani kitu gani kinamzuia asijitokeze?
Magufuli anajulikana ni jeuli sio wa kupelekeshwa na ndio maana akaona alichoeleza Waziri mkuu na Makamu wa rais kinatosha.
 
Sina tatizo na hilo, ila ndio nimeuliza ni kwa kiwango gani cha kuumwa ambacho wananchi tunatakiwa kuambiwa? maana inawezekana anaumwa ila ndio kama alivyoeleza Makamu wa rais hivyo si tatizo la kulazimika kutangaza kuwa rais mgonjwa ila huku ndio tukawa tunatumia hisia kuona rais ni mgonjwa kiasi saaana kiasi cha kuhitajika wananchi kutangaziwa.

Kiwango ni kuumwa kiasi cha kushidwa kufanya maamuzi. Baraza la mawaziri linatakiwa limwambie Jaji mkuu halafu wateuliwe wataalamu madaktari watatu kumchunguza.

Mfano kama unaumwa umwa corona upo kwenye mashine tukavamiwa nani anatakiwa kufanya maamuzi ya kupeleka jeshi? VP hawezi kufanya maamuzi kama hayapo kisheria.

Badala yake kuna watu wanajiona ndiye wenye nchi na wengine ni wajinga hivyo wamesema No kwa katiba!
 
Kiwango ni kuumwa kiasi cha kushidwa kufanya maamuzi. Baraza la mawaziri linatakiwa limwambie Jaji mkuu halafu wateuliwe wataalamu madaktari watatu kumchunguza. Mfano kama unaumwa umwa corona upo kwenye mashine tukavamiwa nani anatakiwa kufanya maamuzi ya kupeleka jeshi? VP hawezi kufanya maamuzi kama hayapo kisheria. Badala yake kuna watu wanajiona ndiye wenye nchi na wengine ni wajinga hivyo wamesema No kwa katiba!
Sasa hapo ndio tunarudi kwa Waziri mkuu na Makamu wa rais,maana waziri mkuu alisema ameongea nae rais hadi akamwambia ratiba yake hivyo rais anajielewa na kuweza kufanya maamuzi. Kinachosumbua ni uzushi wa kwamba sijui yupo Kenya mara India.
 
Sasa hapo ndio tunarudi kwa Waziri mkuu na Makamu wa rais,maana waziri mkuu alisema ameongea nae rais hadi akamwambia ratiba yake hivyo rais anajielewa na kuweza kufanya maamuzi. Kinachosumbua ni uzushi wa kwamba sijui yupo Kenya mara India.

Hakuna mtu ana mwamini waziri mkuu wana utamaduni wa kudanganya. Pili Makamu alisema ni kawaida mtu kwenda kutengenezwa alikuwa na maana gani? Tatu kama yupo poa kuna ugumu gani wa kuonekana hata Ikulu tu.

Ndiyo maana tunasema Watanzania tunajijua huwezi kutudanganya kirahisi. Kuumwa ni kitu cha kawaida. Tatizo mmoja tu ni kutokutufanya sisi wajinga kama uongo ule wa Corona, uchaguzi yaani serikali ni ya kitapeli kwelikweli
 
Magufuli anajulikana ni jeuli sio wa kupelekeshwa na ndio maana akaona alichoeleza Waziri mkuu na Makamu wa rais kinatosha.
Una uhakika kama anajua huku nje waziri mkuu na makamu wa raisi wameeleza nini?
 
Kuna mambo mengi yanaweza kufanya wapinzani hapa nchini mpaka kujenga upya imani kwa wananchi. Hili la kushadidia mkuu wa dola anaumwa au haonekani halina mantiki....
Ccm wangekuwa wamewekeza kwenye ajenda za msingi tusingeona wakigeuka kuwa majizi ya kura, na kutegemea udhaifu wa katiba na vyombo vya dola ili kujitangaza washindi kwenye uchaguzi.
 
Hakuna mtu ana mwamini waziri mkuu wana utamaduni wa kudanganya. Pili Makamu alisema ni kawaida mtu kwenda kutengenezwa alikuwa na maana gani? Tatu kama yupo poa kuna ugumu gani wa kuonekana hata Ikulu tu.

Ndiyo maana tunasema Watanzania tunajijua huwezi kutudanganya kirahisi. Kuumwa ni kitu cha kawaida. Tatizo mmoja tu ni kutokutufanya sisi wajinga kama uongo ule wa Corona, uchaguzi yaani serikali ni ya kitapeli kwelikweli
Ukishamuona au wakikwambia unapata nini?
Tatizo huna kazi za kufanya wewe kila kitu chako unaweka wazi?

Korona unataka wafanyeje ili kukusaidia?
 
Ccm wangekuwa wamewekeza kwenye ajenda za msingi tusingeona wakigeuka kuwa majizi ya kura, na kutegemea udhaifu wa katiba na vyombo vya dola ili kujitangaza washindi kwenye uchaguzi.
Unataka wawekeze kwenye ajenda gani labda wewe ulidhike?

Muwe mnakubali kushindwa kura mpigiwe na nani hasa na kwa kipi mlichonacho kichwani?
 
Unataka wawekeze kwenye ajenda gani labda wewe ulidhike?

Muwe mnakubali kushindwa kura mpigiwe na nani hasa na kwa kipi mlichonacho kichwani?
Ungemuuliza huyo kiazi mwenzio alitaka wapinzani wawekeze kwenye ajenda gani ili yeye aridhike. Kama wapinzani wangekuwa hawana ajenda tusingekuwa tunaona uhayawani, ushenzi na upuuzi wa hali ya juu kwenye chaguzi zetu toka Magu ameingia madarakani.
 
Ungemuuliza huyo kiazi mwenzio alitaka wapinzani wawekeze kwenye ajenda gani ili yeye aridhike. Kama wapinzani wangekuwa hawana ajenda tusingekuwa tunaona uhayawani, ushenzi na upuuzi wa hali ya juu kwenye chaguzi zetu toka Magu ameingia madarakani.
Mmekalia majungu tu hamna lolote kila Rais wa CCM akiingia madarakani hamkosi kasoro,
Kwa ubongo upi mpewe kura ili muongoze nchi hii wkt hata choo mmeshindwa kujenga hata ofisi hamna!!!
 
Hiiiiii bagosha!

Kwani Gwajima si alisema kwenye maisha kuna kusafiri, Kuugua, na hata kufa

Kwanini inawawia taabu kusema alipo?

Hizi ngonjera zingine kwa sasa zina mashiko kweli?

Hivi ni nani aliye na dhamana yote ya maisha yetu na mali zetu kwa sasa?

Kipindi hiki tutapigwa sana. Hapa ndiyo pale penye lile la chama wanaita:

Chukua Chako Mapema - CCM.
 
Una uhakika kama anajua huku nje waziri mkuu na makamu wa raisi wameeleza nini?
Sie wote humu na yote tunayoongea hapa hakuna mwenye uhakika hata mmoja,na ndio maana wengine wanasema yupo Kenya mara India mara keshafariki hakuna mwenye uhakika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom