Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,986
Huyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.
Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.
Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).
Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.
Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.
Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.
Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.
Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.
Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.
Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.
Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).
Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.
Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.
Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.
Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.
Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.
Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.