CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Ki ukweli, tukiachana na itikadi za ki chama, bado upinzani hawana mkakati mathubuti wa kushika dola.
Bado, hawana hoja nzito na za kudumu za kuwashiwish wananchi hadi waamue kuwapigania wakanate dola.
Hoja zao ni nyepesi mno, na hata hivyo hazi click sana kwa majority ya watanzania.
Hata hivyo, hizo hoja nyepesi nyepesi za kuwarubuni wananchi bado wanaziokota toka kwa baadhi ya watu wanaoihujumu CCM. Lakini kama wapinzani wao hawana hoja ya maana kabisa.
Well, CCM kweli kuna baadhi ya mizinguo tunafanya lkn sio mizinguo ya kushutua Jamii kiasi cha kuwapa credit kubwa wapinzani.
Wapinzani, msidhani kushika dola ni Sawa na kunya na kuchamba, guys this battle real not a fun. Kwa hizi siasa zenu maskini na uchwara you have a very very long way to go dear friends.
Sisi CCM tunatamani tufikie level ya Yanga na Simba ama Democrats na Republicans lakini kiukweli mko shallow balaa...
You are simply not serious in the game. You are just making fun!
Hv, mnajua CCM bado hata hatujawaza ku press ile button ya hali ya hatari Kwa uwahi wa chama?! Why should we? And who is making us press that button?! Who?!! Simply hamna.
Mnalia kila day kuhusu polisi, tume huru. Ok, nyie mnafanya juhudi gani ya dhati kabisa kukabiliana na hayo? Hakuna juhudi zozote zaidi ya kulialia tena mitandaoni.
Rafiki zetu, onyesheni uthubutu. Show the world that you mean the business. Acheni kumbwela, Kwa mwendo huu mnaoenda nao, forget about kushika dola just keep thinking about petty issues, dola is above your levels babies!
Dola?! Do you know what are you really fighting for?! Yaani frontline yenu ni wadada tupu hata hamna mwanaume japo mmoja: Mange Kimambi, Akina Fatma Karume, Maria and the likes!
Halafu eti mnataka kushika dola! Halafu, mnataka tuwape kwenye ki sahani.
I love you wapinzani! But you have to grow up, tupeni ushindani mnatuboa SANA ujue!
CCM for the Country!
Bado, hawana hoja nzito na za kudumu za kuwashiwish wananchi hadi waamue kuwapigania wakanate dola.
Hoja zao ni nyepesi mno, na hata hivyo hazi click sana kwa majority ya watanzania.
Hata hivyo, hizo hoja nyepesi nyepesi za kuwarubuni wananchi bado wanaziokota toka kwa baadhi ya watu wanaoihujumu CCM. Lakini kama wapinzani wao hawana hoja ya maana kabisa.
Well, CCM kweli kuna baadhi ya mizinguo tunafanya lkn sio mizinguo ya kushutua Jamii kiasi cha kuwapa credit kubwa wapinzani.
Wapinzani, msidhani kushika dola ni Sawa na kunya na kuchamba, guys this battle real not a fun. Kwa hizi siasa zenu maskini na uchwara you have a very very long way to go dear friends.
Sisi CCM tunatamani tufikie level ya Yanga na Simba ama Democrats na Republicans lakini kiukweli mko shallow balaa...
You are simply not serious in the game. You are just making fun!
Hv, mnajua CCM bado hata hatujawaza ku press ile button ya hali ya hatari Kwa uwahi wa chama?! Why should we? And who is making us press that button?! Who?!! Simply hamna.
Mnalia kila day kuhusu polisi, tume huru. Ok, nyie mnafanya juhudi gani ya dhati kabisa kukabiliana na hayo? Hakuna juhudi zozote zaidi ya kulialia tena mitandaoni.
Rafiki zetu, onyesheni uthubutu. Show the world that you mean the business. Acheni kumbwela, Kwa mwendo huu mnaoenda nao, forget about kushika dola just keep thinking about petty issues, dola is above your levels babies!
Dola?! Do you know what are you really fighting for?! Yaani frontline yenu ni wadada tupu hata hamna mwanaume japo mmoja: Mange Kimambi, Akina Fatma Karume, Maria and the likes!
Halafu eti mnataka kushika dola! Halafu, mnataka tuwape kwenye ki sahani.
I love you wapinzani! But you have to grow up, tupeni ushindani mnatuboa SANA ujue!
CCM for the Country!