Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
WAKATI ODINGA KAMA MPINZANI MKUU NCHINI KENYE AKIJIONDOA HUKU AKILETA SITOFAHAMU KWA HATMA YA UCHAGUZI MKUU.
HUKO NCHINI KONGO WAPINZANI WAMEZIDI KUMKOMALIA RAISI KABILA IFIKAPO DECEMBER MWAKA HUU AONDOKE MADARAKANI HATA KAMA UCHAGUZI UTACHELEWA NI BORA IWEPO SERIKALI YA MPITO BILA UWEPO WA RAISI KABILA MADARAKANI
SOURCE BBC SWAHILI
HUKO NCHINI KONGO WAPINZANI WAMEZIDI KUMKOMALIA RAISI KABILA IFIKAPO DECEMBER MWAKA HUU AONDOKE MADARAKANI HATA KAMA UCHAGUZI UTACHELEWA NI BORA IWEPO SERIKALI YA MPITO BILA UWEPO WA RAISI KABILA MADARAKANI
SOURCE BBC SWAHILI