Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
- Thread starter
- #21
Ukitaka kujua kinachopangwa angalia jinsi Jafo alivyokigeugeu, leo anasema hili kesho hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu ndio jukumu letu hili.Mkuu ahsante sana kwa taarifa hizo za huko JIKONI. Nina amini Vyama husika watazifanyia kazi, ili hawa MABEBERU WA AFRIKA waendelee kudhibitiwa ipasavyo.
Haya wewe lete iliyojaa ukweli mtupu.Uandishi wako unathibitisha kuwa taarifa hii imejaa uwongo mtupu!
Huyu Dogo kachanganyikiwa aiseeee.....au labda kama wamemnukuu vibayaView attachment 1262599
Uongo upi sasa hali kila kitu kiko wazi.Uandishi wako unathibitisha kuwa taarifa hii imejaa uwongo mtupu!
Nawe ukawahi mbio kuja kunusa ugoro.Umeandika ugoro mtupu
Umelewa Congo ya Lumumba weweChama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.
Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.
Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.
Njaa haina baunsa
ni kazi gani unafikiri wanaweza kufanyia taarifa yako ya kitoto hivi?Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.
Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.
Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.
Ya kwako isiyo kuwa ya kitoto iko wapi?ni kazi gani unafikiri wanaweza kufanyia taarifa yako ya kitoto hivi?
MnawewesekaUandishi wako unathibitisha kuwa taarifa hii imejaa uwongo mtupu!
Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.
Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.
Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.
Baada ya kupewa ulaji sasa anakula hadi matapishi yake