Wapinzani Chukueni Tahadhari, Njama Walizopanga CCM Kuelekea Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa 2019

IMG_20191111_230353.jpg

Ukitaka kujua kinachopangwa angalia jinsi Jafo alivyokigeugeu, leo anasema hili kesho hili.
 
Uandishi wako unathibitisha kuwa taarifa hii imejaa uwongo mtupu!
Uongo upi sasa hali kila kitu kiko wazi.
Wanyimwe fomu wadai fomu kwa nguvu wabambikwe kesi ya uhaini waozee jela hadi uchaguzi mkuu upite.Kesi waliyonayo cdm ni muendelezo wa ushahidi inasogezwasogezwa ukaribie uchaguzi wafungwe wasishiriki uchaguzi liko wazi kila mtu anajua
 
Nongwa!
Chadema mlitakiwa muwe na plan B mlipoamua kujitoa
Serikali imeruka kihunzi,zile sababu zenu za kujitoa hazipo tena,mnajikuta mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Kama mmeamua kujitoa ni busara kuachana na habari ya uchaguzi,lakini kila siku thread mara viongozi wanapanga njama kupinga maamuzi ya kamati kuu,nawe leo umekuja na ugunduzi wako mpya
 
Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.

Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.

Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.
Umelewa Congo ya Lumumba wewe
 
Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.

Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.

Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.
ni kazi gani unafikiri wanaweza kufanyia taarifa yako ya kitoto hivi?
 
Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi.

Sina haja kurudia walichopanga maana vyote vimeshuhudiwa na watanzania wote. Mapya waliyoyapanga ni yafuatayo, kwa kuwa vyama vikuu Chadema na Act Wazalendo vimejitoa kushiriki uchaguzi huu, CCM wamevielekeza vyama mamluki vyenye mapandikizi yao navyo vijitoe ndio maana baada ya Act Wazalendo kujitoa msululu wa vyama kujitoa uliongezeka mara dufu, wewe hushangai mpaka Lipumba kibaraka wao mkuu.

Pamoja na kujitoa vyama hivyo pandikizi wamepewa maelekezo kuwa uchaguzi utakapokaribia vianze vyote kurudi kushiriki uchaguzi huu haramu ili kudhoofisha nguvu ya Chadema na Act Wazalendo, vilevile kudanganya wafadhili, nchi wahisani kuwa vyama vyote vimeshiriki Chadema na Act Wazalendo ni wakorofi tu. Haya wapinzani taarifa hiyo ifanyieni kazi msiseme hatukuwaambia, time will tell.

Du unajua mengi. Utakuwa mchawi. Embu tuambie Nani alitangaza kifo cha mkuu.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom