William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Wasalam wangu wote JF,
- Wapinzani sasa wana sauti nzito sana bungeni, ninashauri kwamba kazi yao ya kwanza iwe kukomalia kuikarabati NEC kikatiba, na pili wasimame kwa sauti moja kukomalia Spika wanayemtaka, wakiweza kukubaliana na wabunge wote wa CUF toka Visiwani, ninaamini watayaweza haya mawili bila tatizo.
- Mungu Awabarikie, uchaguzi umeisha sasa kazi ya wananchi, na Mungu Aibariki Tanzania!
FMEs!
- Wapinzani sasa wana sauti nzito sana bungeni, ninashauri kwamba kazi yao ya kwanza iwe kukomalia kuikarabati NEC kikatiba, na pili wasimame kwa sauti moja kukomalia Spika wanayemtaka, wakiweza kukubaliana na wabunge wote wa CUF toka Visiwani, ninaamini watayaweza haya mawili bila tatizo.
- Mungu Awabarikie, uchaguzi umeisha sasa kazi ya wananchi, na Mungu Aibariki Tanzania!
FMEs!