Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Nashangaa kwa sasa Chadema na vyama vingine vya siasa mpo bize kumpigia vigelegele Mama President as if ni mwanachama cha Hashim Rungwe kaingia Ikulu, mind u, CCM ni ile ile na ndio bado iko madarakani. CCM haijawahi kuwa fair kwa Upinzani nchi hii.
Huu ni wakati wa Upinzani kujenga na kurejesha imani kubwa kwa wananchi. Waje na mbinu mbadala za kuwashawishi wananchi wawachague. Come 2025, mkiendelea na hivi vigelegele mnavyokazania CCM inashinda kiulaini.
Mama ni M-CCM wa zaidi ya 15 yrs, kaongoza na Magufuli 5 yrs, now ni rais. Yes, kuna vichaka vya Magu ataviwasha moto, lakini yote ni kwa faida ya CCM, trust me!
Pambaneni mitandaoni, pambaneni majimboni, onesheni CCM inaboronga wapi na nyie mtarekebisha nini ikiwa mtapata japo ubunge again.
Kumbuka: Mkimsifu sana Mama, mnaisifia CCM ile ile inayowasurubu!!
Kazi kwenu!
Huu ni wakati wa Upinzani kujenga na kurejesha imani kubwa kwa wananchi. Waje na mbinu mbadala za kuwashawishi wananchi wawachague. Come 2025, mkiendelea na hivi vigelegele mnavyokazania CCM inashinda kiulaini.
Mama ni M-CCM wa zaidi ya 15 yrs, kaongoza na Magufuli 5 yrs, now ni rais. Yes, kuna vichaka vya Magu ataviwasha moto, lakini yote ni kwa faida ya CCM, trust me!
Pambaneni mitandaoni, pambaneni majimboni, onesheni CCM inaboronga wapi na nyie mtarekebisha nini ikiwa mtapata japo ubunge again.
Kumbuka: Mkimsifu sana Mama, mnaisifia CCM ile ile inayowasurubu!!
Kazi kwenu!