Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Mayanga ni maeneo gani huko mkuu? Ndiyo napasikia leo hii.Hata Mayanga, Lukobe na mkundi bado vinapatikana
Mayanga ni maeneo gani huko mkuu? Ndiyo napasikia leo hii.Hata Mayanga, Lukobe na mkundi bado vinapatikana
Hivi moro ni slow kwenye maendeleo?Wananchi wa Morogoro ni tegemezi kwa Dsm.
Nadhani hii ndo sababu kubwa ya huu mji kuwa slow kwenye maendeleo.
Mtu akitaka kufanya shopping ya laki mbili husafiri kwenda kufanyia Dar.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Lile dongo jekundu loh, dakika mbili umechafukaMoro pazuri sana hasa ukiwa na kipato maana msosi ni bei chee hali ya hewa iko poa na watu wa pale ni watani zangu basi nilikaa kama niko mwanza ....watani zangu hongereni sana
Kisua trans haina huo ubeberu bro.Hivi bado kuna wanaotumia wapiga debe kipindi hiki cha internet? E-ticket?
Wapi huko mkuuMkuu ukiwa na 1m-1.5 unapata eneo kubwa sanaa tu.
Kisua inayolala Rudewa Gongoni?Kisua trans haina huo ubeberu bro.
Lile dongo jekundu loh, dakika mbili umechafuka
Forest kwa moto sana mkuu maana kule ndio makao ya mkoa sijawahi hata uliza bei za kule. Kwa sasa naweza kukushauri utafute Lukobe, Mkundi, Kiegea na Bigwa.Wapi huko mkuu
Hivi kule forest au chini ya lile limlima kubwa sana pale mjini naweza kupata 40*50 angalau kwa kiasi gani. Hapo ndipo napataka tangu siku ya kwanza napita moro.
Nilijaribu siku moja dalali akanipeleka 10*20 mlimani juu kinyama uswahilini, nikatoka nduki
Usipende kufikia Mafisa.Lile dongo jekundu loh, dakika mbili umechafuka
Sawa chiefKisua trans haina huo ubeberu bro.
Lukobe qniLukobe na Mkundi bei zimechangamka mkuu, advantage ya Kiegea sio unauziwa unamegewa lieneo.
Poa pouwa, ngoja tusake mapesa, ila hapo pa moto ntatoboa tu maana ni dream yangu kuweka maskani chini ya hilo limlima kubwa kwa gharama ypyote ile na sina haraka.Forest kwa moto sana mkuu maana kule ndio makao ya mkoa sijawahi hata uliza bei za kule. Kwa sasa naweza kukushauri utafute Lukobe, Mkundi, Kiegea na Bigwa.
Eeh mvua iishe maana udongo mbaya huu .Lile dongo jekundu loh, dakika mbili umechafuka
Hahaha huko nasikia mududu dog anabei kuliko pokiWale wa iringa karibuni mishkaki ya Mbwaa
Ni kweli hapo kwenye hotel ni hovyo sana, na hii habari mishkaki ya mbwa ndio kufanya watu wasile tena maeneo hayo wakisafiriKitu ambacho kimewashinda morogoro ni hotel nzuri na chakula kizuri kwa abiria wanaokula Morogoro.
Kisua wako wapiKisua trans haina huo ubeberu bro.
Kalibu bigwaForest kwa moto sana mkuu maana kule ndio makao ya mkoa sijawahi hata uliza bei za kule. Kwa sasa naweza kukushauri utafute Lukobe, Mkundi, Kiegea na Bigwa.