matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,570
- 15,314
Natanguliza pole kwa wote waliolishwa mbwa hapo nje ya stand Msamvu. Nimefanikiwa kukagua eneo liko swari na kuna kijana anauza mishkaki halali ya nyama inayosadikiwa kuwa ya ng'ombe. Ila nilibaki na swali tu, ikiwa moro wametafuna mbwa hivyo sio zaidi Dar ambako watu wanakula hovyo vimishikaki kwenye chelewa na vindizi vya kuchoma?
Turudi madani
Aisee hii ni zaidi ya mara ya 20 napita hapa 'msamvu' hawa wakaribishaji sijawahi kuwaona stand yoyote nchini. Wanabidii ya ushawishi na hawakati tamaa kirahisi.
1: Hata kama sura wengine ni za kiteja kidogo lakini wanalugha nzuri, yakiungwana.
2: Waongo sana, ila wanavyokushawishi kwa uongo utapenda. " Nimewahi panda BM naambiwa ina "Maliwato ndani". Jamaa nikamkaba twende nihakikishe alikuwa na ujasiri wa kutoka nje hadi mlangoni mwa Bus, kwa ujasiri na ushawishi ule nikamwambia basi sawa kuingia hakuna cha maliwato wala maliwata. Ila Yenye maliwato huwa ipo.
3: Hii tabia ya ucustomer care wameambukizana wahudumu wote. Wale wa msosi, tax, machinga, kila mtu yuko active kupitiliza.
Nimewahi kufika stand nyingi, ila msamvu nawakubali sana kuliko hata mbezi mwisho ambako watu wanakomaa kidogo tu anakata tamaa na kutafuta mtu mwingine. Kwa sababu ya usanii mwingi ambao wamenifanyia kwa kuwaamini japo siwalaumu nimewawekea formula kali sana kiasi kwamba hawanisumbui tena bila idhini yangu.
Leo walipojua nahitaji kuchaji, nimepelekwa siti ya mbele ya kosta ya kwenda wilayanu nikaletewa na usb cable nikaunganishwa kwenye radio ili niendelee kula JF. Kuuliza wenzagu wamo tangu saa nne, mimi naambiwa dakk 15 kwa heshima yangu wataondoka ingawa tumeondoka baada ya saa. Wanasema hali mbaya sana leo.
Hawa jamaa wako vzri aisee, ndio maana wanalisha watu mbwa, watu wanauziwa nazi za kuoza, powerbank zenye 0 charging capacity, battery mpya za simu ambazo hazijai na bado watu wanatoa pesa. Hasa wale panic buyers.
Turudi madani
Aisee hii ni zaidi ya mara ya 20 napita hapa 'msamvu' hawa wakaribishaji sijawahi kuwaona stand yoyote nchini. Wanabidii ya ushawishi na hawakati tamaa kirahisi.
1: Hata kama sura wengine ni za kiteja kidogo lakini wanalugha nzuri, yakiungwana.
2: Waongo sana, ila wanavyokushawishi kwa uongo utapenda. " Nimewahi panda BM naambiwa ina "Maliwato ndani". Jamaa nikamkaba twende nihakikishe alikuwa na ujasiri wa kutoka nje hadi mlangoni mwa Bus, kwa ujasiri na ushawishi ule nikamwambia basi sawa kuingia hakuna cha maliwato wala maliwata. Ila Yenye maliwato huwa ipo.
3: Hii tabia ya ucustomer care wameambukizana wahudumu wote. Wale wa msosi, tax, machinga, kila mtu yuko active kupitiliza.
Nimewahi kufika stand nyingi, ila msamvu nawakubali sana kuliko hata mbezi mwisho ambako watu wanakomaa kidogo tu anakata tamaa na kutafuta mtu mwingine. Kwa sababu ya usanii mwingi ambao wamenifanyia kwa kuwaamini japo siwalaumu nimewawekea formula kali sana kiasi kwamba hawanisumbui tena bila idhini yangu.
Leo walipojua nahitaji kuchaji, nimepelekwa siti ya mbele ya kosta ya kwenda wilayanu nikaletewa na usb cable nikaunganishwa kwenye radio ili niendelee kula JF. Kuuliza wenzagu wamo tangu saa nne, mimi naambiwa dakk 15 kwa heshima yangu wataondoka ingawa tumeondoka baada ya saa. Wanasema hali mbaya sana leo.
Hawa jamaa wako vzri aisee, ndio maana wanalisha watu mbwa, watu wanauziwa nazi za kuoza, powerbank zenye 0 charging capacity, battery mpya za simu ambazo hazijai na bado watu wanatoa pesa. Hasa wale panic buyers.