Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Wapiga kura kwa mwaka 2015 walikuwa 23,161,440 na mwaka 2020 ni 29,804,992 Hivyo mshindi wa uchaguzi mwaka huu ataamriwa na hawa wapiga kura wapya takribani milioni sita na nusu.
Ikumbukwe kuwa hawa ni vijana angalau waliomaliza darasa la saba na kuendelea ambao walikuwa UNDER 18 mwaka 2015 na wale wote walioona umuhimu wa kupata kadi ya mpiga kura baada ya kushindwa kupata kadi ya NIDA.
Hawa aidha watampigia Lissu au Magufuli. Tusubiri tarehe 28.
Idadi ya wapiga kura Tanzania waongezeka
Ikumbukwe kuwa hawa ni vijana angalau waliomaliza darasa la saba na kuendelea ambao walikuwa UNDER 18 mwaka 2015 na wale wote walioona umuhimu wa kupata kadi ya mpiga kura baada ya kushindwa kupata kadi ya NIDA.
Hawa aidha watampigia Lissu au Magufuli. Tusubiri tarehe 28.
Idadi ya wapiga kura Tanzania waongezeka