Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.
Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?
Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:
-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.
-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.
Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.
Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
cc:HAMY-D, Ritz
Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?
Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:
-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.
-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.
Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.
Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
cc:HAMY-D, Ritz