Wapiga kura Monduli wanalia,wanashangaa harambee kwa mamilioni za mbunge wao

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.

Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?

Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:

-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.

-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.

Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.


Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
cc:HAMY-D, Ritz
 
Mkuu hayo uliyoyaandika umeyapitia au umemezeshwa ukaja kuandika tu?
Monduli mahakama zipo, vituo vya polisi vipo, asilimia kubwa ya barabara zake zinapitika muda wote na ni nzuri, Je wewe unaongelea monduli ya wapi?

unaongelea barabara zinazopita kuelekea kwingine au au barabara za kuhudumia jimbo...usichanganje issue za jeshi,usichanganye na marabara ya kutoka arusha kwenda mikoa mingine, zile za kwenda milimani wanajua wenyewe.

NIkushauri tuu....mwambie mbunge atume wapelelezi wake asikie habari inayofuka mohis mkubwa sana kule.Watu wa Engaruka ndio kabisa hawamtaki tena,wanasikitika kusikia anataka urais.Wamasai walio karibu nae sasa wanasema wazi kila mahali.

ikukumbukweli dalili za uchaguzi wa Makuyuni zilionekana.Mods walijaribu futa thread yangu ya hujuma dhidi ya ushindi wa CDM.Mawakala wa CDM na Mbunge Nassari walipigwa na wasomali,kwani wamasaia tayari walishapiga biashara chini.
 
Mkuu ongea kwa evidence za maeneo uliyowahoji wapiga kura, you are too general umesema monduli, monduli ni kubwa sana na most ya hivyo ulivovisema vipo tena sio vya jana wala juzi miaka na miaka vipo
 
Kwa miaka nenda rudi sekondary zifuatazo zilikuwepo, Irkisongo sec, makuyuni sec, Engutoto sec, Einot sec, Nanja sec, irkisale sec, hizo ni baadhi ya sekondari za serikali, private kama maasae girls, Moringe sec, Enyorata girls.
Mahakama za wilaya na mwanzo zipo miaka yote. Nadhani umeongea kwa kuwa hujakaa na wala kufika sehemu kubwa ya monduli
 
Mkuu ongea kwa evidence za maeneo uliyowahoji wapiga kura, you are too general umesema monduli, monduli ni kubwa sana na most ya hivyo ulivovisema vipo tena sio vya jana wala juzi miaka na miaka vipo

-Unataka evidence gani sasa, kuwa manduli ni kubwa?Well ni kubwa ila mbunge wao sasa hivi yupo nchi nzima ila monduli hajaweza hata toka nje ya mji.

-Unataka eveidence gani kuwa Engaruka walipewa option ya Voda tuu?

-Unataka evidence gani..kuna kilihcopo amunduli sasa hata bila mbunge kingekuwepo na vilikuwepo?Jeshi lilikuwepo,barabara ya kwenda manyara haikukusdiwa kwa wana monduli, na monduli kuwa kamji ni wazi serikali ingefanya kazi tuu, huku taasisi nyingine km bank zingekwenda ili kutap jeshi na wafanya kazi wengine.Kwanini sas anje ya mji hakuna alichofanya mbunge?
 
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.

Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?

Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:

-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.

-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.

Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.


Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.

Inawezekana unatumika vibaya au hujui unaloliandika ama vyote viwili kwa pamoja.nimezunguka karibia monduli nzima unayoyasema hapa ni uongo mtupu,pengine na wewe unataka tu ujionyeshe kuwa umeandika kitu otherwize ni rubbish.
 
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.

Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?

Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:

-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.

-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.

Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.


Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
Monduli ipi ?
 
Kwa miaka nenda rudi sekondary zifuatazo zilikuwepo, Irkisongo sec, makuyuni sec, Engutoto sec, Einot sec, Nanja sec, irkisale sec, hizo ni baadhi ya sekondari za serikali, private kama maasae girls, Moringe sec, Enyorata girls.
Mahakama za wilaya na mwanzo zipo miaka yote. Nadhani umeongea kwa kuwa hujakaa na wala kufika sehemu kubwa ya monduli

unaongelea shule za kata?Hizo wao wenyewe wanasema ni zoezi la nchi nzima na halihusiani na mbunge.Je meshaona nyumba za polisi?je umeshaona watu wanaowekwa ktk magodown kwa vile hakuna mahabusu?Mbona hujataja mahakama za mwanzo?

Hembu waache wana monduli wafunguke sasa.usaniii umewachosha......hembu pitia misatri niliyoandika ukatafute majibu yote,badala ya kutaka vuruga haya.

Uchaguzi wa makuyuni ulikuwa na hizi clue, maccm wakalazimisha kutumia wasomali kupiga watu na kujipa ushindi mezani.Hamkujiuliza maswali ya msingi.Niliweka thread hapa ikafutwa sasa imekuwa ni dejavu
 
unaongelea shule za kata?Hizo wao wenyewe wanasema ni zoezi la nchi nzima na halihusiani na mbunge.Je meshaona nyumba za polisi?je umeshaona watu wanaowekwa ktk magodown kwa vile hakuna mahabusu?Mbona hujataja mahakama za mwanzo?

Hembu waache wana monduli wafunguke sasa.usaniii umewachosha......hembu pitia misatri niliyoandika ukatafute majibu yote,badala ya kutaka vuruga haya.

Uchaguzi wa makuyuni ulikuwa na hizi clue, maccm wakalazimisha kutumia wasomali kupiga watu na kujipa ushindi mezani.Hamkujiuliza maswali ya msingi.Niliweka thread hapa ikafutwa sasa imekuwa ni dejavu

Inaelekea hujui hata unachotaka kusema
 
Inawezekana unatumika vibaya au hujui unaloliandika ama vyote viwili kwa pamoja.nimezunguka karibia monduli nzima unayoyasema hapa ni uongo mtupu,pengine na wewe unataka tu ujionyeshe kuwa umeandika kitu otherwize ni rubbish.

wewe unayetumika vizuri nini povu linakutoka?wewe unawakilisha wapiga kura wa monduli?Mtajaa sana buku 7 hapa leo
 
Acha guesswork hapa....acha ielekeee inakoelekea.Km huna majibu kwa boss wako mwache ajibu mwenyewe.

Usidhani kila anaeandika hapa ana njaa kama wewe unavodhani, nmekaa monduli miaka zaidi ya kumi na hayo uliyoandika asilimia kubwa ni uongo mtupu
 
Usidhani kila anaeandika hapa ana njaa kama wewe unavodhani, nmekaa monduli miaka zaidi ya kumi na hayo uliyoandika asilimia kubwa ni uongo mtupu

Acha wehu na matusi...sasa njaa yangu inahusiana nini na hapo kwenye red.Unabisha nini na unaongea nini?Sasa hizo asilimia zilizo kweli mbona huna majibu yake?Inaonyesha jinsi ulivyo si mwaminifu ktk huu mjadala.Na wewe ndie mwenye njaa hapa.

Km huna majibu mwambie boss wako aje kujibu mwenyewe.Mgamba ni wapumbavu tuu..mtajidanganya km yeye anavyodhani ukaskazini utaitafuta chadem tuu na si yeye ndani ya CCM.Mwambie akakemee ukaskazini kwanza ndio tujue mnajitambua.

Nakuambia tena acha guesswork..sasa km majibu yako ni kuniambia nina njaa badala ya kuacha guesswork then ipo kazi
 
Mi mzaliwa wa Monduli mkuu Nicholas uliyoyaongea machache yana ukweli ...na bahati nzuri nshatembelea sehemu nyingi za wilaya hii kwa mjini lami zimewekwa hadi njia zisizostahili ...shule kabla ya za kata zilikuwepo nyingi Sana hadi zenye high school Makuyuni ikiwa mfano ....zahanati kwa kweli labda hapo Engaruka tu lakini kila eneo lina zahanati mfano Monduli juu , mto wa mbu ..makuyuni ....n.k tunayo mahabusu nzuri tu Sema ya zamani ....mbunge wetu tulimdai Sana maji na hospitali nzuri kwa kweli amejitahidi. Hayo makanisa kwetu yapo vizuri tena kama kkkt imejengwa juzi tu mkuu ni nzuri Sana. Mzee ni mchapakazi na hadii ukihitaji kumwona personal unaenda .....hii ni baadhi tu usihoji watu njiani we njoo mwenyewe ...mwaka mpya huwa pana sherehe kubwa tu karibu siku hiyo.
 
quote_icon.png
By mpushi

utakuwa umeshiba maharage ktk joto kali bila maji.Lazima uongee vitu vya kushangaza pamoja na majigambo kuwa huna njaa.
 
Back
Top Bottom