Ukiwa na upande upande usio wako unaona wanafanya vitu visivyo vya maana.
Tunaendelea kusikiliza makelele ya wanasiasa na mipasho ili Tarehe 28/10/2020 tuwape Ajira.
Hapa Tanzania Hakuna hoja wala sera ni mipasho ya wanasiasa tu kwenye kampeni.
Ukitarajia uwasikilize ndio ufanye maamuzi Utakua unaongopa maana nimipasho sio hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.