Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Kwani sie wenzao tunakula wapi? Waache ujinga kula yako wewe kero nipate mimiUnafkir wakifukuzwa hapo
Watakula wap wao
Kwani sie wenzao tunakula wapi? Waache ujinga kula yako wewe kero nipate mimiUnafkir wakifukuzwa hapo
Watakula wap wao
Sana aisee wanatuonea sanaTena wengine washenzi hasa akina mama ndo wanawaonea kweli. Kuna siku msamvu moro nimeshuhudia wananyang'anyana mzigo wa mama mmoja mpaka waka ufumua vitu vyote vikasambalatika. Yani aibu kweli, alafu hata awaonyeshi kujuta yani. Dah
Unaenda wap mchuchuYaan mada imenigusa kumoyoooo...
Nipo stendi nasafiri yaan sheedaah
Kweli mkuu, yaan ubungo panaboa sana.. pale ukifika hata mzuka wa safari unapunguaHivi serikali ipo wapi? Mbona wapiga debe hapa stendi ya Ubungo wanabughuthi sana abiria? Wanavutavuta abiria wanashikashika akina dada wengine wezi. Unakuta mwingine mchafu anakuja kukungangania? Naishauri serikali ya mkoa iwapige marufuku na kuwaondoa wote. Tuwe wastaarabu. Kila basi wawe na ofisi abira ufike ofisini ukate tiketi ukapande basi
Hivi serikali ipo wapi? Mbona wapiga debe hapa stendi ya Ubungo wanabughuthi sana abiria? Wanavutavuta abiria wanashikashika akina dada wengine wezi. Unakuta mwingine mchafu anakuja kukungangania? Naishauri serikali ya mkoa iwapige marufuku na kuwaondoa wote. Tuwe wastaarabu. Kila basi wawe na ofisi abira ufike ofisini ukate tiketi ukapande basi
Mbwahaaaa haaaaa nilikuona paleMaana mimi tayar nina tiketi namuombia haelewi ananishika na mikono michafu anachafua T-shirt yangu nyeupe nikashikwa na jazba sana nikakuta teke limeshachomoka
Yaelekea hata hujui unachoongea. Unataka kuniambia kuwa woooote hapa hatujui kusema NIACHE?Tuwaache wapate rizk kama huwapenda mwambie akuache tu only......
Umekosea makonda yupo mwanza huyu ni bashite sio makondaHili jambo hata mimi linanikera mheshimiwa Makonda wanasema wewe ni 'jembe' kweli watakushinda wale mateja?
mkuu mi simo kwa kweliUmekosea makonda yupo mwanza huyu ni bashite sio makonda
Naenda kula starehe za duniaUnaenda wap mchuchu