Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,183
Wazo zuriKuna basi ambazo hawana ofisi?Tuwaache wajitafutie ugali.ila wao wangeanzisha chama chao wakafanya kwa ustarabu bila kusumbua watu wakiwa na sare moja maalumu.
Wazo zuriKuna basi ambazo hawana ofisi?Tuwaache wajitafutie ugali.ila wao wangeanzisha chama chao wakafanya kwa ustarabu bila kusumbua watu wakiwa na sare moja maalumu.
Napingana na wewe kwa 100%.Kuna basi ambazo hawana ofisi?Tuwaache wajitafutie ugali.ila wao wangeanzisha chama chao wakafanya kwa ustarabu bila kusumbua watu wakiwa na sare moja maalumu.
ExactlyLabda tuangalie namna nyingine kwakuwa hiyo serikali ya mkoa haijawahi kufaulu kwenye lolote
Unaelekea wapi?Yaan mada imenigusa kumoyoooo...
Nipo stendi nasafiri yaan sheedaah
tatizo stand ni chafu kama hao wapiga debe. stand ingekua safi kama pale airport , wasingefanya haya wanayo Fanya sasa.Hivi serikali ipo wapi? Mbona wapiga debe hapa stendi ya Ubungo wanabughuthi sana abiria? Wanavutavuta abiria wanashikashika akina dada wengine wezi. Unakuta mwingine mchafu anakuja kukungangania? Naishauri serikali ya mkoa iwapige marufuku na kuwaondoa wote. Tuwe wastaarabu. Kila basi wawe na ofisi abira ufike ofisini ukate tiketi ukapande basi
Unapandishwaje gari la usiku kama mzigo mzee..Hasa wale wadada wa mabasi ya Arusha na Moshi ndio wamezidi aisee! Kurembuliana macho na mwezi huu mtukufu...Halafu wanakupandisha basi la kuondoka usiku wakati safari yako ni mchana.
Subiri yakukute mkuu,Siku hiyo kidogo nikalale jela yule mdada nilimrudia niliporudi safari yangu!Unapandishwaje gari la usiku kama mzigo mzee..
Mkuu usije kua umemuharibu bandamaHahaaaa, bora utusaidie sisi wapole
Next time katia ticket ofisini au kwenye gari kabisa..Subiri yakukute mkuu,Siku hiyo kidogo nikalale jela yule mdada nilimrudia niliporudi safari yangu!
Hakuachi hata ukimfokea...wanaganda kama wanakudai vileTuwaache wapate rizk kama huwapenda mwambie akuache tu only......
hawajakuchangia?Mi leo nimepiga mmoja teke kali sana
Mkuu inaonekana unatisha sanaWanaangaliaga na sura... Hakuna kenge imewahi nibugudhi...
Labda tuangalie namna nyingine kwakuwa hiyo serikali ya mkoa haijawahi kufaulu kwenye lolote