Kichwa hapo juu chahusika .Wapi zaweza patikana rejeta mpya za magari ya kila aina za jumla na rejareja Tanzania?
Agents wao au distributors wao wanapatikana wapi?Kwa taarifa ni kwamba Afro mech ltd ni watengenezaji wa radiator za magari hapa nchini na wamekuwa na bidhaa zenye kiwango kikubwa sana kiasi kwamba wanatengeneza radiator za magari ya landrover na wamekuwa na mkataba wa supply radiator kwa miaka mingi sana.Hawa jamaa wapo tabata dampo.Mmoja wa miliki wa kampuni hiyo ni Ndugu Ramesh patel ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa club ya mpira ya Simba Sports Club.
Mwenzetu
Kichwa hapo juu chahusika .Wapi zaweza patikana rejeta mpya za magari ya kila aina za jumla na rejareja Tanzania?