Peter Issack
New Member
- Sep 6, 2015
- 1
- 1
Jamani hebu nisaidieni kufahamu bank inayotoa mikopo kwa masharti nafuu hasa kwa sisi wanafunzi tuliomaliza chuo tunaotaka kujiajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hayo mambo yako unaonaje ukiwa unaandika jukwaa la siasa tu?Ana dhamana ya mke
Mi ni mtumishi mkuu, naomba unipe maelekezoIpo ila mpaka uwe mtumishi
Jaribu kuwatafuta watu wanaitwa BAYPORTMi ni mtumishi mkuu, naomba unipe maelekezo
nina dhamana ya kiwanjwa karibia nusu heka....nahitaji zaidi ya 20m....nitapata?Una dhamana gani?