Wapi wanatoa diploma ya ICT/IT bila ufaulu wa B Mathematics kidato cha nne?

Aingie NACTE website atafute Admission Guide ya 2018/19 kuna "kitabu" cha Agriculture, Engineering, ICT etc akiingia hapo atakuta vyuo vinavyotaka D4 (ukiacha Religious subjects) bila kujali ufaulu wa B/Math.
 
Back
Top Bottom