Kinondoni B pale kuna saloon moja ina michoro ya kijamaica wako poa nampelekaga my cousinHabari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.
Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.
Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.
Natanguliza shukrani.
unataka kuweka rough dreads...Picha ya rough dreads please.
SORRY unawez kunitajia mafuta yaku tengenezea rough dreadsaloon nyingi wanatengeza ila kama una short hair
bora ununue mafuta na ile sponge unatengeneza mwenywe na pia
unasave pesa. sponge 40,000tzs na mafuta 25,0000 na vinakaa muda mrefu
wakati ukienda saloon ni 15,000 hadi 20,000 na inabidi uwe unaenda mara kwa mara
team roughdread
SORRY unawez kunitajia mafuta yaku tengenezea rough dread
Eco gel
Yes ma.Momma umehamia rough dread?
Missing you too ma; Hope ya doing okYes ma.
Miss you darling.
Missing you too ma; Hope ya doing ok
SORRY unawez kunitajia mafuta yaku tengenezea rough dread
OkUnaweza kutumia styling dredz moulding gel wax ni 25 tu. Uko na ile spounge?
Hivi inawezekana kutengeneza dreads nkakaa nazo miezi mmoja au zaidi baadae nikarudia kuchana Nywele zangu kama kawaida bila kunyoa.