Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja mpaka niokote mkebe aka mkoko then nije nimtambie ndugu yangu zero iq
Pumbu mbili si mzigoNamuonaga pale kitaa anauza chips kama kawaida....
Hizo hela za kuosha unatoa ww au mumeo?Juliana Mbezi beach bei nzuri na wanaosha vizuri
Hii hela ya Tanzania au Uganda?
Yoyote tu atakaekuwepoHizo hela za kuosha unatoa ww au mumeo?
Nimekuwa curious tu!Yoyote tu atakaekuwepo
Why Mkuu
Na haichafuki tena??Ndio mkuu hyo washing inayopigwa ni balaaa wanatoa kilakitu ndan gari inang'arishwa hatari full unyunyu na hauijutii hela yako
nadhani ni hivoNa haichafuki tena??
Kweli kununua gari si kazi,kazi kulihudumiaNdio mkuu hyo washing inayopigwa ni balaaa wanatoa kilakitu ndan gari inang'arishwa hatari full unyunyu na hauijutii hela yako
Sio mbaya kwa bei hiyoNdio mkuu hyo washing inayopigwa ni balaaa wanatoa kilakitu ndan gari inang'arishwa hatari full unyunyu na hauijutii hela yako
Kweli unalosema lakini kuna wakati gari linahitaji usafi wa full valet yaani mpaka viti vyote vinatolewa nje na kuoshwa na hiyo kwenye car wash zingine inachukua hata masaa 5 au zaidi inategemea na uchafu wa gariHakuna mtu wa kuosha gari lako vizuri huko ndani zaidi yako mwenyewe......
Hao wengine watalipapasa tu wachukue hela yako...
Wanaume tuache ulegevu....tenga masaa hata mawili weekend ufanye baadhi ya kazi zako mwenyewe na utaona ufanisi...
Unakuta mwanaume likitambi limening'inia hata kubrush viatu vyake hawezi...kila kitu kufanyiwa..
Samahani mtoa post sikuongelei wewe...nazungumza kwa ujumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinondoni sehemu gani?Nenda pale kinondoni kwa Lamar producer yupo vizuri , gari inaoshwa huku ww unapiga vitu vya birian na mikuku kuku
studioKinondoni sehemu gani?