Wapi wananyoosha bodi na kupaka rangi gari vizuri

YoungCorporate

JF-Expert Member
Apr 30, 2010
391
113
wakuu amani iwe juu yenu.
kaji-saloon kangu kamepata shurba kidogo katika mizunguko bodi imebonyea kiasi na rangi ya silver kuchunika! Sasa nataka nikapeleke clinic karudie mvuto wake! Wadau naomba location yenye wajuzi waliobobea katika kunyoosha mikunjo na kupaka rangi! Shukran
 
pole sana mkuu.
inategemea una bei gani. kama unataka uipige yote nenda kwa wachina pale mwenge......ITV.
kama unataka kishkaji nicheck kwa PM, yupo kijana anakufanyia hapohapo kwako, kama gari sio ya kuchoma sana lakini.
 
wakuu amani iwe juu yenu.
kaji-saloon kangu kamepata shurba kidogo katika mizunguko bodi imebonyea kiasi na rangi ya silver kuchunika! Sasa nataka nikapeleke clinic karudie mvuto wake! Wadau naomba location yenye wajuzi waliobobea katika kunyoosha mikunjo na kupaka rangi! Shukran
.nenda kwa wachina ndio kazi zao hizo
 
Hivi hao wachina bei zao zikoje? Kubwa, kiasi au za kuridhisha?
Maana nami nina ka-bajaj kangu naona kama naanza kukachukia, kumbe rangi yake ishanichosha!
 
pole sana mkuu.
inategemea una bei gani. kama unataka uipige yote nenda kwa wachina pale mwenge......ITV.
kama unataka kishkaji nicheck kwa PM, yupo kijana anakufanyia hapohapo kwako, kama gari sio ya kuchoma sana lakini.

mkuu ahsante, sio yote ni upande tu ndio umechunika kiasi pia hakuna sehemu ya kuchoma maana bodi haijakatika ila imebonyea tu! Kwani bei za wachina zina-range kiasi gani??
 
Mkuu kuna jamaa mmoja Backshpire aoutshop pale morocco nyuma ya zain ni mzuri na anatumia mashine za kisasa na bei ni maelewano hana njaa mpigie 0715871657
 
mwenye kujua bei za wchina basi jamani, si vizuri kwenda ukatajiw abei ukazimia
 
Wachina wana bei reasonable kulingana na ubora wa kazi zao... Hawako cheap, na sio expensive ukilinganisha na Muda wa kazi, less longo longo na quality ya kazi yenyewe.. Siwapigii debe ila ukipeleka gari pale utajua nini nasema... kuhusu bei, Mimi kuna mtu alinigonga nyuma, bumper likachanika kabisa na kubonyea vibaya na mlango wa nyuma ukabonyea kabisa, wakataka 380,000 kwa kazi ya siku mbili na matokeo yake ni mazuri sana, yaani hakuna anayejua kama gari iligongwa kama sikumwambia, ni kama imekuja jana kutoka japan, Pia bro wangu aligongwa na tiper, bumper ya mbele iling'oka yote na taa zikavunjia, wachina walitaka 250,000 kwa kazi nzima na sasa hivi ukiliona gari utadhani limenunuliwa mwezi huu wakati lina mwaka sasa.. kwahiyo jamaa mi naona wana bei za kawaida tu kulingana na ubora wa kazi zao.... Mafundi wa mtaani ukilaza gari kwao hesabu maumivu, ukishamaliza kazi ya rangi, matatizo ya engine nk yanaanza, huku wanatengeneza na kule kuna wezi wanalihujumu gari lako... Na huna ushahidi wa kumfunga mtu... Wachina ukienda pale, wana form yao ya kukagua gari, wanalicheki kila kitu na wanarecord kila kilichopo kwenye hiyo form na ukija kulichukua wanapitia tena kucheki kila kitu kipo...

Ni mtazamo tu.
 
Wachina wana bei reasonable kulingana na ubora wa kazi zao... Hawako cheap, na sio expensive ukilinganisha na Muda wa kazi, less longo longo na quality ya kazi yenyewe.. Siwapigii debe ila ukipeleka gari pale utajua nini nasema... kuhusu bei, Mimi kuna mtu alinigonga nyuma, bumper likachanika kabisa na kubonyea vibaya na mlango wa nyuma ukabonyea kabisa, wakataka 380,000 kwa kazi ya siku mbili na matokeo yake ni mazuri sana, yaani hakuna anayejua kama gari iligongwa kama sikumwambia, ni kama imekuja jana kutoka japan, Pia bro wangu aligongwa na tiper, bumper ya mbele iling'oka yote na taa zikavunjia, wachina walitaka 250,000 kwa kazi nzima na sasa hivi ukiliona gari utadhani limenunuliwa mwezi huu wakati lina mwaka sasa.. kwahiyo jamaa mi naona wana bei za kawaida tu kulingana na ubora wa kazi zao.... Mafundi wa mtaani ukilaza gari kwao hesabu maumivu, ukishamaliza kazi ya rangi, matatizo ya engine nk yanaanza, huku wanatengeneza na kule kuna wezi wanalihujumu gari lako... Na huna ushahidi wa kumfunga mtu... Wachina ukienda pale, wana form yao ya kukagua gari, wanalicheki kila kitu na wanarecord kila kilichopo kwenye hiyo form na ukija kulichukua wanapitia tena kucheki kila kitu kipo...

Ni mtazamo tu.
no zao plz
 
Jamani mwenye namba za wachina wa Spring city na update za kupaka rangi gari kama spacio old model.
 
Wachina wana bei reasonable kulingana na ubora wa kazi zao... Hawako cheap, na sio expensive ukilinganisha na Muda wa kazi, less longo longo na quality ya kazi yenyewe.. Siwapigii debe ila ukipeleka gari pale utajua nini nasema... kuhusu bei, Mimi kuna mtu alinigonga nyuma, bumper likachanika kabisa na kubonyea vibaya na mlango wa nyuma ukabonyea kabisa, wakataka 380,000 kwa kazi ya siku mbili na matokeo yake ni mazuri sana, yaani hakuna anayejua kama gari iligongwa kama sikumwambia, ni kama imekuja jana kutoka japan, Pia bro wangu aligongwa na tiper, bumper ya mbele iling'oka yote na taa zikavunjia, wachina walitaka 250,000 kwa kazi nzima na sasa hivi ukiliona gari utadhani limenunuliwa mwezi huu wakati lina mwaka sasa.. kwahiyo jamaa mi naona wana bei za kawaida tu kulingana na ubora wa kazi zao.... Mafundi wa mtaani ukilaza gari kwao hesabu maumivu, ukishamaliza kazi ya rangi, matatizo ya engine nk yanaanza, huku wanatengeneza na kule kuna wezi wanalihujumu gari lako... Na huna ushahidi wa kumfunga mtu... Wachina ukienda pale, wana form yao ya kukagua gari, wanalicheki kila kitu na wanarecord kila kilichopo kwenye hiyo form na ukija kulichukua wanapitia tena kucheki kila kitu kipo...

Ni mtazamo tu.
Baadhi ya mafundi wa mtaani ni shida sana,
Mnakubaliana vizuri tu lakini ukishampa kazi tu ndio longolongo inaanza, mara hivi mara vile, kazi haiwezi kwisha kwa wakati. lakini ni haohao ndio wanafanya kazi huko kwa wachina. Yaani hawawezi kufanya kazi bila kusimamiwa
 
da! lakini c fundi wote wa mtaani yuko hivyo mfano mimi nimefanya kazi kwa wachina miaka2 nikaachana nao na kurudi mtaani na napiga kazi zangu vizuri sijawai poteza hata pini ya mteja
 
da! lakini c fundi wote wa mtaani yuko hivyo mfano mimi nimefanya kazi kwa wachina miaka2 nikaachana nao na kurudi mtaani na napiga kazi zangu vizuri sijawai poteza hata pini ya mteja
Kama kuna Mtu au comment fulani au maalum ulikua ukiijibu ungebonyeza reply pale pale
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom