Wapi wana mtumba mkali kati ya hawa?

Swahili AI

JF-Expert Member
Mar 2, 2016
6,160
46,612
Wakuu,
Nilikua napita kwenye mtandao wa kuuza magari, kwa wenye uzoefu/ufahamu.... Ni wapi wana gari makini zilizotumika?
1620377399932.jpeg
 
Gari kote ni kali ila inategemea na quality ya hio gari, gari kama ford utazikuta zipo USA ndo zinaka imported kutoka huko coz ya production yake kubwa ni usa ila ukija kwa BMW etc utazikuta sana Germany kwasabu ya origin yake ni huko na mjapan gari zake nyingi utazikuta sana Japan... kuna ist nmeona inauza $ 4,040 C&F nikabaki nashngaa ila ni imenyooka hatari. Gari ni quality
 
Back
Top Bottom