Mjini wap sasa,maana hata sumbawanga ni mjini
ninamaanisha Dar kama ulikuwa haujanielewa
Kama ni dar, kuna sehem nyiny ila kwa module E, kwa Tax kuna jamaa Anaitwa swallo anafundishia apt, International finance kuna mwalim anaitwa Dr Nkoba anafundisha boma na biafra ni mzuri sana, financial report Rashid wa Boma.<br />
Kwa module F, MA kuna mtu anaitwa Edson, Conte &audit apt ,mwisho ni juhudi binafsi mie nmesoma apt mwanzo mwisho so kunamapungufu kias ila unakomaa kama utaweza soma kwa kufwata walim basi fanya ivo.
Thanx kwa taarifa mkuu