Salam wadau
Mimi nimekuwa mfuatiliaji wa Muungano wa Tanzania na Zanzibar sasa nimefanikiwa kupata machapisho/vitabu na hotuba za Mwl. Nyerere na Prof. Shivji sasa nataka kupata pia machapisho ya Muasisi wa muungano upande wa Zanzibar (Abeid Karume) kwa ajili ya kujisomea na kuwa na historia iliyo sahihi. asanteni
Mimi nimekuwa mfuatiliaji wa Muungano wa Tanzania na Zanzibar sasa nimefanikiwa kupata machapisho/vitabu na hotuba za Mwl. Nyerere na Prof. Shivji sasa nataka kupata pia machapisho ya Muasisi wa muungano upande wa Zanzibar (Abeid Karume) kwa ajili ya kujisomea na kuwa na historia iliyo sahihi. asanteni