Wapi Nitapata Pumba ya Mahindi iliyokauka

wegman

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
1,460
2,071
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu, nitapata wapi pumba ya mahindi safi iliyokauka, kama kuna mtu anayo au anajua inapopatikana msaada jamani.
 
kwangu umepata wewe uko wapi?

mm niko mbeya pumba nzur ipo kiasi chochote unacho hitaji

0753 44 55 31
 
kwangu umepata wewe uko wapi?

mm niko mbeya pumba nzur ipo kiasi chochote unacho hitaji

0753 44 55 31
Ahsante kwa mrejesho mkuu, me nipo Dar, na nilipanga nipate mtu wa Dar hapa kama nitakosa itabidi nikucheki mkuu ingawa itakuwa gharama.
 
Ahsante kwa mrejesho mkuu, me nipo Dar, na nilipanga nipate mtu wa Dar hapa kama nitakosa itabidi nikucheki mkuu ingawa itakuwa gharama.

Kwa Dar nenda Manzese, pale maeneo ya Darajani upande wa kishoto kama unaenda mjini, kuna viwanda vingi vinasagisha unga hayo maeneo, hivyo kunakuwaga na pumba nyingi sana
 
Kwa Dar nenda Manzese, pale maeneo ya Darajani upande wa kishoto kama unaenda mjini, kuna viwanda vingi vinasagisha unga hayo maeneo, hivyo kunakuwaga na pumba nyingi sana
Ndio mkuu kule huwa inapatikana ila me nahitaji iliyokaushwa juani kabisa, kule wengi wanazo zile fresh ambazo zimetoka kwenye mashine.
 
Back
Top Bottom