EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mi sio msafiri ila some weekends nasafirishaga abiria nikiwa narudi home so nauli za baada ya mabasi zinapandaga. Maana abiria analazimika kutolala au alale aongeze garama za chumba one more night. Wengine wanawahi dili au kazi. Akipata kosta well and good ila gari ndogo ya abiria4 na driver? sijui lakiniZingatia neno makubaliano mkuu, ikiwezekana kaongee na Dereva mweleze hali halisi