Wapi nitapata Oxygen sensor ya Volkswagen Polo 2006


giphy.gif
 
MREJESHO

nashukuru sana wana jukwaa, hatimaye nimepata oxygen sensor kutoka kwa “Jerry spare parts”

Kwa wenye uhitaji wa spare parts hasa magari ya Ulaya wanaeza mcheki uyu mwamba +255 715 666 656

Shukrani

Bei sh ngapi hiyo spea?

-Kaveli-
 
Habari za Asubuhi wakuu.

Gari yangu Volkswagen polo 1.4L ya mwaka 2006 imekufa “oxygen sensor” naomba kwa wajuvi wanisaidie wapi naweza kuipata na bei ni kiasi gani.

imeandikwa hivi

NTK JAPAN 12V

VW AG 036 906 262 T

Naamini kuna wauzaji spea humu na wataalam wenye ujuvi wa maduka wanapouza hizi spea. Kwa sasa nipo Mbeya, kama kuna wadau wanajua sehemu naeza kupata au hata Dar naombeni msaada.

View attachment 1820126
View attachment 1820127
View attachment 1820128
View attachment 1820129
Inaitwa air mass ngoja nikuchekie
 
Habari za Asubuhi wakuu.

Gari yangu Volkswagen polo 1.4L ya mwaka 2006 imekufa “oxygen sensor” naomba kwa wajuvi wanisaidie wapi naweza kuipata na bei ni kiasi gani.

imeandikwa hivi

NTK JAPAN 12V

VW AG 036 906 262 T

Naamini kuna wauzaji spea humu na wataalam wenye ujuvi wa maduka wanapouza hizi spea. Kwa sasa nipo Mbeya, kama kuna wadau wanajua sehemu naeza kupata au hata Dar naombeni msaada.

View attachment 1820126
View attachment 1820127
View attachment 1820128
View attachment 1820129
Jaribu machimbo ya Sweetcorner barabara ya Sinza Kijiwe hadi Magomeni Moroko wanakata sana magari unaweza kupata
 
MREJESHO

nashukuru sana wana jukwaa, hatimaye nimepata oxygen sensor kutoka kwa “Jerry spare parts”

Kwa wenye uhitaji wa spare parts hasa magari ya Ulaya wanaeza mcheki uyu mwamba +255 715 666 656

Shukrani
Inapendeza kwa kupata muongozo...
 
Habari za Asubuhi wakuu.

Gari yangu Volkswagen polo 1.4L ya mwaka 2006 imekufa “oxygen sensor” naomba kwa wajuvi wanisaidie wapi naweza kuipata na bei ni kiasi gani.

imeandikwa hivi

NTK JAPAN 12V

VW AG 036 906 262 T

Naamini kuna wauzaji spea humu na wataalam wenye ujuvi wa maduka wanapouza hizi spea. Kwa sasa nipo Mbeya, kama kuna wadau wanajua sehemu naeza kupata au hata Dar naombeni msaada.

View attachment 1820126
View attachment 1820127
View attachment 1820128
View attachment 1820129
Vipi umekuja kupata hiyo sensor?

Kama hujapata tufanye biashara
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom