habari wadau poleni na majukumu.mimi ni mwalimu sekondari ombi langu ni kutaka kujuzwa ni wapi naweza pata mkopo,kwa hapa tukuyu isiwe bank kwani nahitaj pesa kidogo tu kwaajili ya kuongezea mtaji ili nifungue biashara yangu na ntakuwa nairejesha kwa mwezi naombeni kujuzwa kwa hili na ushauri pia ahsanteni