Heshima zenu wakuu..
Naombeni taarifa ya sehemu nitakapoweza kupata scholarship kwa vyuo vya hapa nchini kwa ajili ya Masters. Mimi napendelea zaidi SUA kwa kuwa digrii yangu ya kwanza niliipata hapo na nataka kuendeleza fani. Pia ningependa nipate taarifa ya sehemu ninayoweza kupata mkopo kwa ajili ya kulipia masomo hayo zaidi ya bodi ya mikopo.
Asanteni..
Naombeni taarifa ya sehemu nitakapoweza kupata scholarship kwa vyuo vya hapa nchini kwa ajili ya Masters. Mimi napendelea zaidi SUA kwa kuwa digrii yangu ya kwanza niliipata hapo na nataka kuendeleza fani. Pia ningependa nipate taarifa ya sehemu ninayoweza kupata mkopo kwa ajili ya kulipia masomo hayo zaidi ya bodi ya mikopo.
Asanteni..