opondo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 527
- 1,312
Naomba kuuliza wapi nitapata chimbo la mchele mzuri maeneo ya Morogoro.
Mimi ni graduate nimejipiga piga nimepata mtaji kidogo around 600k (laki sita) soko la kuuza Dar nimepata maeneo ya Tandale Sokoni nilikua naomba kufahamishwa chimbo la Mchele kwa Morogoro.
Nilikua nafikiri niende mbali zaidi huko Kyela lakini mtaji wangu ni mdogo.
Mimi ni graduate nimejipiga piga nimepata mtaji kidogo around 600k (laki sita) soko la kuuza Dar nimepata maeneo ya Tandale Sokoni nilikua naomba kufahamishwa chimbo la Mchele kwa Morogoro.
Nilikua nafikiri niende mbali zaidi huko Kyela lakini mtaji wangu ni mdogo.