Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Nina laptop ya hivyo kuna mtu aliniuzia, mtoto kaipasua sasa ninahitaji kununua nyingine kama hiyo hiyo wapi ninaweza kuipata?
Au nipate laptop nyingine inayokunjwa kama hiyo mfano wa spectre na ambayo ni slim sana kama hiyo.
Budget yangu laki 7 maana sitaki iwe na processor kubwa maana naitumia kuchapa na kusurf tu hivyo nahitaji iwe inatunza chaji maana hiyo ilikuwa inakaa na chaji mpaka masaa 7
Chief-Mkwawa
Au nipate laptop nyingine inayokunjwa kama hiyo mfano wa spectre na ambayo ni slim sana kama hiyo.
Budget yangu laki 7 maana sitaki iwe na processor kubwa maana naitumia kuchapa na kusurf tu hivyo nahitaji iwe inatunza chaji maana hiyo ilikuwa inakaa na chaji mpaka masaa 7
Chief-Mkwawa