Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,928
- 54,146
- Thread starter
- #41
Uwepo Wa MunguHizi kengele huwa tunatumia kuzipa ishara roho, ili ziwe katika unit ya kukaa kwa hali ya utulivu kwa ajiri ya roho kuu kuanza kuendesha ibada na miongozi ili portal ( malango nayo yafunguke ).. huamsha roho na kuziweka tayari, malango kufunga na shughuli za kiroho huanza