Shukrani mkuuKwa kanda ya ziwa sina uhakika sana,lakini hebu jaribu kucheki hapo Ukiliguru chuo cha kilimo.
But kwa huku Pwani tuna maabara hapo SUA na Mlingano Research Institute, Tanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda hapo LZARDI Ukirigulu au panaitwa TARI Ukirigulu utapata huduma bila kupoteza muda!Habari wakuu?
Naomba kujua wapi nitapata huduma ya kupimiwa afya ya udongo kwa ajili ya kujua udongo unafaa kwa zao lipi? Nipo Mwanza
Ni wilaya gani ambayo Bwana Kilimo anakaa kwa Mkuu wa wilaya?Nenda kwa mkuu wa wilaya mahali ulipo kisha ulizia bwana kilimo wa wilaya hapo kidogo unaweza kujua mwanzo wa swala lako
Shukrani mkuuNenda hapo LZARDI Ukirigulu au panaitwa TARI Ukirigulu utapata huduma bila kupoteza muda!