Wapi nitapata hii switch ya taa??

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,408
Heading isomeke: Wapi nitapata??
switch.jpg
brush.jpg

Picha hizi zimekujia kwa hisani ya Boflo na snowhite
 
Mzee wa kubadili avatar umetisha kama kawaida yako... Ukiipata ni-pm namimi nitupie mjengoni kwangu.
 
mie ni mchanganyiko wa hayo makabila..............ina maana ukijumlisha mapengo ya mgogo na ya kimasai unapata nini?!?

hahaha pole sikua najua...
nadhani ukijumlisha mapengo ya pande hizo mbili, basi hakutakua na haja ya mswaki...
 
watu8 hebu achana na switch kwanza jiandae kuingia nakivubo muda ndo huu!!!kumbuka mimi sina access ya redio wala TV nawategemea ninyi!!!

Hahaha...mkuu nipo mzigoni leo yaani hapa natamani kweli hiyo game niitazame sasa mkoloni ndio kakaba, itabidi tuwasikilizie kina Mphamvu, Wabhejasana, Ndetichia na wengineo...
 
Last edited by a moderator:
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom