Fast Forward
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 551
- 704
Nilikosea mkuu ni laki nne na kumi elfu hii ni pamoja VAT.Hiyo bei ipo sahihi au umekosea Mkuu,
Nilikosea mkuu ni laki nne na kumi elfu hii ni pamoja VAT.Hiyo bei ipo sahihi au umekosea Mkuu,
Chloride exide vp?Unataka battery yenye size ipi mm ninazo kampuni tatu tu ambazo ni spark MF, powerlast na atlas tu
Niliamini Chloride exide ndio bora dunianiNatumia N70 Maxx. Batt Gold, hii ni la Kikorea Genuine inadunda freshi tu toka mwezi wa 7 last year. Naskiliza redio hata nikizima gari bila wasiwasi nikiwasha ni jino moja.
Sio kwa hizi zinazotoka hapo Kunya or Nairoberi...Maybe upate iliokuja na gari toka JapanNiliamini Chloride exide ndio bora duniani
yes zipo mkuuChloride exide vp?
Halafu wabongo hatujui matumizi ya betri ikishazingua Mara moja unatupa na kununua nyingine. Mm betri Chloride Exide N70 (dry) ilizingua Agosti 2020 nikaenda kulichaji Kwa fundi uswazi Tsh. 2,000 tu mpaka leo linapiga kazi Safi tuSio kwa hizi zinazotoka hapo Kunya or Nairoberi...Maybe upate iliokuja na gari toka Japan
Uliinunua lini?Halafu wabongo hatujui matumizi ya betri ikishazingua Mara moja unatupa na kununua nyingine. Mm betri Chloride Exide N70 (dry) ilizingua Agosti 2020 nikaenda kulichaji Kwa fundi uswazi Tsh. 2,000 tu mpaka leo linapiga kazi Safi tu
Wanazo mkuuWana N50?
Mi ninalo N50 liko poa tu hadi leo, mwaka na zaidi na warranty lilikua nayo imeisha lakini.Mimi nauza betry za korea zina warranty wa mwaka mmoja
Ns40 110000
Ns60 140000
N50 150000
N70 185000
N90 250000
0714360270