mwaqsirjr058
Member
- May 4, 2017
- 10
- 0
Kwa anayejua naomba kufahamishwa bei ya machine ya kukamulia miwa na zinapatikana wap kwa dsm
Mojawapo kati ya hizo machine.. itategemea bei yake..ndo maana nataka nijue bei ili nijue ninunue ipumahitaji ya umeme au ya mkono??
AsanteeNenda CoET-UDSM ukikosa hapo Nenda kwa DickSound.
kama upo dsm na utahitaji ya mkono tuwasiliane, yangu nauza 250,000/ kwa sababu nimekosa kijana mzuri wa kazi na mimi nipo tait sana.Mojawapo kati ya hizo machine.. itategemea bei yake..ndo maana nataka nijue bei ili nijue ninunue ip
Nipe namba yako nikutafutekama upo dsm na utahitaji ya mkono tuwasiliane, yangu nauza 250,000/ kwa sababu nimekosa kijana mzuri wa kazi na mimi nipo tait sana.
Nicheki kwa hii nambakama upo dsm na utahitaji ya mkono tuwasiliane, yangu nauza 250,000/ kwa sababu nimekosa kijana mzuri wa kazi na mimi nipo tait sana.
0712148577Nicheki kwa hii namba
Dick sound hehe,machine ya juice yenye subwoofer au sioNenda CoET-UDSM ukikosa hapo Nenda kwa DickSound.