Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau naambiwa huku mtaani baadhi ya Watanzania wamekuwa wabunifu sana. Wameanza kutengeneza kinywaji hicho chenye Heshima na hadhi kubwa kwa njia za kienyeji.
Kwa Wazoefu hebu tupeni taarifa sahihi kuhusu uvumi huu. Ni Wapi tutapata kinywaji halisi na pia Ni jinsi gani ya kutambua halisi.
Kwa Wazoefu hebu tupeni taarifa sahihi kuhusu uvumi huu. Ni Wapi tutapata kinywaji halisi na pia Ni jinsi gani ya kutambua halisi.