Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
Wapendwa,
Heri ya mwaka mpya!
Naomba nisaidieni mwenzenu,
Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa nywele/vinyweleo, unasubiri kama dakika tano hivi, kisha unaosha kwa maji na nywele/vinyweleo vyote vinakuwa vimetoka (nadhani kwa waliokwishaitumia wnaijua)
Kwa kweli nimetafuta sana hapa Dar kwa muda mrefu bila mafanikio. nimetafuta zaidi maduka yote maeneo ya Mlimani city, Mwenge, Kijitonyama/Makumbusho. Maduka makubwa makubwa kama game, Nakumatt, TSN nk. Kote sijafanikiwa kupata kwa kweli siamini kama hakuna bidhaa kama hii maeneo hayo niliyotaja.
Kwa huyo wapendwa, naombeni mnisaidie kwa anayejua wapi ninapoweza kupata nimetaja maeneo ya Mlimani city, Kijitonyama/Makumbusho kwa sababu kwangu ni rahisi zaidi kufika lakini kama kuna mtu anajua maduka yenye uhakika wa kupata mahali pengine, pia nitafurahi kuifuata hukohuko iliko.
Asanteni na mbarikiwe sama wapendwa.
Glory to God!
Heri ya mwaka mpya!
Naomba nisaidieni mwenzenu,
Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa nywele/vinyweleo, unasubiri kama dakika tano hivi, kisha unaosha kwa maji na nywele/vinyweleo vyote vinakuwa vimetoka (nadhani kwa waliokwishaitumia wnaijua)
Kwa kweli nimetafuta sana hapa Dar kwa muda mrefu bila mafanikio. nimetafuta zaidi maduka yote maeneo ya Mlimani city, Mwenge, Kijitonyama/Makumbusho. Maduka makubwa makubwa kama game, Nakumatt, TSN nk. Kote sijafanikiwa kupata kwa kweli siamini kama hakuna bidhaa kama hii maeneo hayo niliyotaja.
Kwa huyo wapendwa, naombeni mnisaidie kwa anayejua wapi ninapoweza kupata nimetaja maeneo ya Mlimani city, Kijitonyama/Makumbusho kwa sababu kwangu ni rahisi zaidi kufika lakini kama kuna mtu anajua maduka yenye uhakika wa kupata mahali pengine, pia nitafurahi kuifuata hukohuko iliko.
Asanteni na mbarikiwe sama wapendwa.
Glory to God!