Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 318
- 67
Ndugu zangu kama kuna mtu anajua wapi hapa Dar napata tags za kuweka ktk masikio ya ngómbe for identification na kile kifaa chemyewe cha kuwekea hiyo tag ktk sikio. natanguliza shukrani tena.
Zipo kko maduka mifugo panda kule ghorofa ya KwanzaNdugu zangu kama kuna mtu anajua wapi hapa Dar napata tags za kuweka ktk masikio ya ngómbe for identification na kile kifaa chemyewe cha kuwekea hiyo tag ktk sikio. natanguliza shukrani tena.
Ahsante mzee wa shamba
Barikiwa sana kwa kuuliza hili swali maana nami nilikuwa na wazo la kuwafanyia hivyo Mbuzi wangu.Ndugu zangu kama kuna mtu anajua wapi hapa Dar napata tags za kuweka ktk masikio ya ngómbe for identification na kile kifaa chemyewe cha kuwekea hiyo tag ktk sikio. natanguliza shukrani tena.
Barikiwa sana ndugu kwa kutusaidia hili swala.
Barikiwa sana kwa kuuliza hili swali maana nami nilikuwa na wazo la kuwafanyia hivyo Mbuzi wangu.