Wapi naweza kujifunza Kingereza cha kuongea na kuandika

Matokeo1

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
231
42
jf mi ni mhitimu wa shahada chuo kikuu, ila napenda kuimprove kingereza changu sijui wapi pa kujifunzia penye walimu waliobobea
 
Shahada chuo Kikuu?
Unataka English Improvement Course?

Mbona unanitisha mkuu,huku chini ulisomea masomo yapi na ulifaulu vipi.
Kufaulu sio tatizo ila mpaka kufikia Degree nikwamba kuna writting Researches nyingi umefanya tena kwa lugha ya kiingereza.

Mie sikushauri hilio,ningekushauri uongeze lugha ya Ziada kulingana na soko la sasa la ajira.
Jaribu ku take a step ahead kwa kusome labda Spanish,Italian,German etc.
Na pia Lugha ya Kichina sasa hivi ipo kwenye soko sana na itakusaidia kama wewe degree holder

Naamini wewe sio kwamba hujui Kuongea na kuandika,ila tatizo lako ni inferiority complex,acha woga na hofu.
Mie nakumbuka wale ambao shuleni tulikuwa tukiwaona machepele kwa kuchapia kiingereza ndio mwisho wake wakawa waakali sana wa lugha hiyo baada ya kuchekwa sana,na wao bila kuona aibu vile vicheko ndio wao wanaongeza speed.
Natumai kila mtu amewahi kukumbana na watu aina hii mashuleni.Muhim ni kutoa aibu na kujiamini na kukubali kukosolewa.

Mfano hai:- Mie.Naongea na kuandika Kiingereza ambapo nimejua zamani,Spanish na Italian nimejua kwenye kazi hizi za utalii,na nilichapia sana,na ukichapia kwa mzungu ndio raha hasa,maana anakuelewa hivyo hivyo then baada ya miaka miwili tu unakuwa mkali sana.Muhim ni kutoa aibu na ufuatiliaji.

Kiarabu ndio naanza kidogodo,maana mie sioni aibu,wanangu ni wazuri sana kwenye kiarabu sasa na mie ni Jiwe kabisaa,sijui lolote.Sasa siku moja nikawaambia jamani eee mie sijui kiarabu nataka mnifundishe,walicheka sana.Na kila mmoja alikuwa na shauku ya kunifundisha.Maana last born akitoka shuleni tu ana pass the lesson to me.Na ndio naanza kuchapiachapia sasa,ila hopefully in two years to come nitakuwa vizuri kwa mawasiliano ya kawaida

Aibu ndio adui wa maendeleo yetu vijana na kuogopa kuthubutu.

Mfano Wa Pili:-Mke wangu mie ni form 4,lugha alikuwa hana.Watoto wangu ni wawili(10 and 7 yrs) na wote wapo International School.
Wife alinibana sana nimfundishe kiingereza ili watoto wasije wakamsumbua,sasa namie nilikuwa busy wakati huo.
Alichofanya wife ni kwamba wale wale watoto ndio aliwaomba wamfundishe,ikawa full kuchapia in house.
Ila unajua mtoto kama umemlea vizuri anakuwa na upeo mkubwa sana,sasa wao hata kama mama yao akikosea humuoni hata mmoja kucheka,ila mama yao ndio huanza kucheka kisha wao wanamuambia mama utajua tu na kumpa moyo.

Sasa uliza leo hii mama yao yupo vipi.Ni kwamba anauweza mzuri sana wa kiingereza cha kuongea na kuandika.
Juhudi yake ikanipa moyo,ndio mwaka jana nikaamua nimfundishe Spanish Language,na yupo vizuri kwa mawasiliano ila bao speed haijakaa vizuri.

Narejea tena,Aibu na uoga wa kuthubutu ndio tunapokwama,na hakuna wa kuitoa aibu hiyo zaidi ya wewe mwenyewe.
Mie sikufika Elimu ya Chuo kikuu ila kama ningefika huko,basi naona kama una degree then una lugha tatu kichwani kama mie,ni ngum sana kukosa kazi kwa ajira za sasa kama huna tamaa ya kulipwa mamilioni.
Ila wengie Degree holders,wanajua Kiingereza tu,kajitahidi sana Kifaransa.

Tijitume,tukubali na tuthubutu
 
kaka nashukuru kwa ushauri wako, mi sio kwamba kingereza sikijui, ila nataka kukiimarisha kiasi kwamba kinyooke kisawasawa kama wenzetu wanavyo kinyoosha, kiukweli lugha ya kingereza naipenda sana na kukijua zaidi na zaidi kinaweza kunyosha maisha yangu
 
Nenda pale British Council ni Tshs. 400,000/ tu ada yao kwa miezi sita utakuwa umeiva sana.

hapo ni kama upo Dar es salaam, kama upo mwanza sijui kwa kweli labda wadau wa mwanza watueleze hapa ni sehemu gani nzuri mwanza pa kujifunzia kiingereza, natambua your concern mkuu wala usijali.
 
Nenda pale British Council ni Tshs. 400,000/ tu ada yao kwa miezi sita utakuwa umeiva sana.

hapo ni kama upo Dar es salaam, kama upo mwanza sijui kwa kweli labda wadau wa mwanza watueleze hapa ni sehemu gani nzuri mwanza pa kujifunzia kiingereza, natambua your concern mkuu wala usijali.
Kaka nashukuru sana, maana unaonekana umenielewa utathani upo akilini mwangu, big up mkuu wangu
 
Shahada chuo Kikuu?
Unataka English Improvement Course?

Mbona unanitisha mkuu,huku chini ulisomea masomo yapi na ulifaulu vipi.
Kufaulu sio tatizo ila mpaka kufikia Degree nikwamba kuna writting Researches nyingi umefanya tena kwa lugha ya kiingereza.

Mie sikushauri hilio,ningekushauri uongeze lugha ya Ziada kulingana na soko la sasa la ajira.
Jaribu ku take a step ahead kwa kusome labda Spanish,Italian,German etc.
Na pia Lugha ya Kichina sasa hivi ipo kwenye soko sana na itakusaidia kama wewe degree holder

Naamini wewe sio kwamba hujui Kuongea na kuandika,ila tatizo lako ni inferiority complex,acha woga na hofu.
Mie nakumbuka wale ambao shuleni tulikuwa tukiwaona machepele kwa kuchapia kiingereza ndio mwisho wake wakawa waakali sana wa lugha hiyo baada ya kuchekwa sana,na wao bila kuona aibu vile vicheko ndio wao wanaongeza speed.
Natumai kila mtu amewahi kukumbana na watu aina hii mashuleni.Muhim ni kutoa aibu na kujiamini na kukubali kukosolewa.

Mfano hai:- Mie.Naongea na kuandika Kiingereza ambapo nimejua zamani,Spanish na Italian nimejua kwenye kazi hizi za utalii,na nilichapia sana,na ukichapia kwa mzungu ndio raha hasa,maana anakuelewa hivyo hivyo then baada ya miaka miwili tu unakuwa mkali sana.Muhim ni kutoa aibu na ufuatiliaji.

Kiarabu ndio naanza kidogodo,maana mie sioni aibu,wanangu ni wazuri sana kwenye kiarabu sasa na mie ni Jiwe kabisaa,sijui lolote.Sasa siku moja nikawaambia jamani eee mie sijui kiarabu nataka mnifundishe,walicheka sana.Na kila mmoja alikuwa na shauku ya kunifundisha.Maana last born akitoka shuleni tu ana pass the lesson to me.Na ndio naanza kuchapiachapia sasa,ila hopefully in two years to come nitakuwa vizuri kwa mawasiliano ya kawaida

Aibu ndio adui wa maendeleo yetu vijana na kuogopa kuthubutu.

Mfano Wa Pili:-Mke wangu mie ni form 4,lugha alikuwa hana.Watoto wangu ni wawili(10 and 7 yrs) na wote wapo International School.
Wife alinibana sana nimfundishe kiingereza ili watoto wasije wakamsumbua,sasa namie nilikuwa busy wakati huo.
Alichofanya wife ni kwamba wale wale watoto ndio aliwaomba wamfundishe,ikawa full kuchapia in house.
Ila unajua mtoto kama umemlea vizuri anakuwa na upeo mkubwa sana,sasa wao hata kama mama yao akikosea humuoni hata mmoja kucheka,ila mama yao ndio huanza kucheka kisha wao wanamuambia mama utajua tu na kumpa moyo.

Sasa uliza leo hii mama yao yupo vipi.Ni kwamba anauweza mzuri sana wa kiingereza cha kuongea na kuandika.
Juhudi yake ikanipa moyo,ndio mwaka jana nikaamua nimfundishe Spanish Language,na yupo vizuri kwa mawasiliano ila bao speed haijakaa vizuri.

Narejea tena,Aibu na uoga wa kuthubutu ndio tunapokwama,na hakuna wa kuitoa aibu hiyo zaidi ya wewe mwenyewe.
Mie sikufika Elimu ya Chuo kikuu ila kama ningefika huko,basi naona kama una degree then una lugha tatu kichwani kama mie,ni ngum sana kukosa kazi kwa ajira za sasa kama huna tamaa ya kulipwa mamilioni.
Ila wengie Degree holders,wanajua Kiingereza tu,kajitahidi sana Kifaransa.

Tijitume,tukubali na tuthubutu


HAYO YOOTE ULIYO YAONGEA KWA ENGLISH NI:


University degree ?
Want to English Improvement Course ?

Why are you threatening me head , while below what was studied and was able to.
Success is not the problem , but until you reach there nikwamba Degree writting many Researches have done it again in English .

Mie hilio I counsel , I would advise you add an Additional language according to current labor market .
Try to take a step ahead to a literate maybe Spanish , Italian, German etc .
And also Chinese language now widely available on the market and will help you if you degree holder

I believe that you know you do not speak and write, but your problem is inferiority complex , let fear and panic.
Mie remember those who in school we used to see machepele for printing English is the end of it became the very strong language after very laughable , and they without laughter is such a shame they are increasing speed .
I hope everyone has had to face this kind mashuleni.Muhim people are shy and give confidence to accept criticism .

A live example : - Mie.Naongea and write in English where I know the old, Spanish and Italian I know in these works of tourism, and I swore a lot, and you swore to white is comfortably in particular , because he understood it so then after two years you have very bright. the important is to give shy and monitoring.

Arabic is getting turned kidogodo , for mie I am not ashamed , my children are so beautiful in Arabic now and I am a stone kabisaa , I do not lolote.Sasa one day I told everybody Eee mie do not know Arabic, I want to teach me , they laugh sana.Na each one was eager to teach me . for the last born she got home from school just has to pass the lesson to me.Na is kuchapiachapia I start now , but hopefully in two Years to come will be better for normal communication

Shame is the enemy of our youth development and fear dare.

Second example :- My wife I am a form 4 , the language was not my na.Watoto are two ( 10 and 7 yrs ) and both are International School.
Wife was a very constructively nimfundishe English to children lest they bother , now namie I was busy at the time.
He Did His wife is that those children are often asked wamfundishe , became full printing in house .
But you know you are raising a child as well is that a very large scope , now they even like their mother was wrong to see Him not one laugh, but their mother is starts to laugh then they will know only a mother to him and comfort him .

Now today asked their mother is vipi.Ni that is very good power to speak and write English .
His efforts ikanipa heart , is the last year I decided nimfundishe Spanish Language and communication is good for speed but not ijakaa scoring well .

I turn again , shame and fear to dare are we pokwama , and no shame give more of yourself .
I got Mie University Education but as I got there , then see if you have a degree then you have three languages ​​on the head as mie, is very Gum jobless for jobs now if you are desperate to earn millions.
But the several Degree holder , know English only , very kajitahidi French.

Tijitume , accept a dare




KAMA GOOGLE INAANGAIKA SEMBUSE MSHIKAJI?


KAKA NENDA UBALOZI PALE WA BRITISH UTASAIDIWA. ILA GHALI SI KIDOGO,
 
Kweli kuelewa kazi kweli na kujua Computer ukubwani ni mzigo kweli.
Na ujue kuelewa ni kipaji.

Sasa ulichoweka hapo juu hakuna hata mmoja aliekuelewa unamaana gani na Logic yako ni ipi.
 
Shahada chuo Kikuu?
Unataka English Improvement Course?

Mbona unanitisha mkuu,huku chini ulisomea masomo yapi na ulifaulu vipi.
Kufaulu sio tatizo ila mpaka kufikia Degree nikwamba kuna writting Researches nyingi umefanya tena kwa lugha ya kiingereza.

Mie sikushauri hilio,ningekushauri uongeze lugha ya Ziada kulingana na soko la sasa la ajira.
Jaribu ku take a step ahead kwa kusome labda Spanish,Italian,German etc.
Na pia Lugha ya Kichina sasa hivi ipo kwenye soko sana na itakusaidia kama wewe degree holder

Naamini wewe sio kwamba hujui Kuongea na kuandika,ila tatizo lako ni inferiority complex,acha woga na hofu.
Mie nakumbuka wale ambao shuleni tulikuwa tukiwaona machepele kwa kuchapia kiingereza ndio mwisho wake wakawa waakali sana wa lugha hiyo baada ya kuchekwa sana,na wao bila kuona aibu vile vicheko ndio wao wanaongeza speed.
Natumai kila mtu amewahi kukumbana na watu aina hii mashuleni.Muhim ni kutoa aibu na kujiamini na kukubali kukosolewa.

Mfano hai:- Mie.Naongea na kuandika Kiingereza ambapo nimejua zamani,Spanish na Italian nimejua kwenye kazi hizi za utalii,na nilichapia sana,na ukichapia kwa mzungu ndio raha hasa,maana anakuelewa hivyo hivyo then baada ya miaka miwili tu unakuwa mkali sana.Muhim ni kutoa aibu na ufuatiliaji.

Kiarabu ndio naanza kidogodo,maana mie sioni aibu,wanangu ni wazuri sana kwenye kiarabu sasa na mie ni Jiwe kabisaa,sijui lolote.Sasa siku moja nikawaambia jamani eee mie sijui kiarabu nataka mnifundishe,walicheka sana.Na kila mmoja alikuwa na shauku ya kunifundisha.Maana last born akitoka shuleni tu ana pass the lesson to me.Na ndio naanza kuchapiachapia sasa,ila hopefully in two years to come nitakuwa vizuri kwa mawasiliano ya kawaida

Aibu ndio adui wa maendeleo yetu vijana na kuogopa kuthubutu.

Mfano Wa Pili:-Mke wangu mie ni form 4,lugha alikuwa hana.Watoto wangu ni wawili(10 and 7 yrs) na wote wapo International School.
Wife alinibana sana nimfundishe kiingereza ili watoto wasije wakamsumbua,sasa namie nilikuwa busy wakati huo.
Alichofanya wife ni kwamba wale wale watoto ndio aliwaomba wamfundishe,ikawa full kuchapia in house.
Ila unajua mtoto kama umemlea vizuri anakuwa na upeo mkubwa sana,sasa wao hata kama mama yao akikosea humuoni hata mmoja kucheka,ila mama yao ndio huanza kucheka kisha wao wanamuambia mama utajua tu na kumpa moyo.

Sasa uliza leo hii mama yao yupo vipi.Ni kwamba anauweza mzuri sana wa kiingereza cha kuongea na kuandika.
Juhudi yake ikanipa moyo,ndio mwaka jana nikaamua nimfundishe Spanish Language,na yupo vizuri kwa mawasiliano ila bao speed haijakaa vizuri.

Narejea tena,Aibu na uoga wa kuthubutu ndio tunapokwama,na hakuna wa kuitoa aibu hiyo zaidi ya wewe mwenyewe.
Mie sikufika Elimu ya Chuo kikuu ila kama ningefika huko,basi naona kama una degree then una lugha tatu kichwani kama mie,ni ngum sana kukosa kazi kwa ajira za sasa kama huna tamaa ya kulipwa mamilioni.
Ila wengie Degree holders,wanajua Kiingereza tu,kajitahidi sana Kifaransa.

Tijitume,tukubali na tuthubutu

unazungumza kama mtu anayejua sababu za yeye kuishi katika ulimwengu huu namaanisha you are real smart brother!nitaufanyia kazi ushauri wako!
 
wakuu mimi nahitaji shule, najua kuongea na kuaandika kiingereza lakini tatizo ni grama na kunabaadhi ya maneno ya kiingereza yananipa shida.
unajua kuongea si tatizo tatizo ni pale utakapotakiwa kufanya presentation mahali na unafikia point unashindwa kuendwlea au unakosa neno linalostahili.
na when it comes to english grammer thats where I feel like I need to go back to school. I need to know is there any one who knows a good centre or school in Arusha where I can improve my english?.

thanks in advance.
 
Shahada chuo Kikuu?
Unataka English Improvement Course?

Mbona unanitisha mkuu,huku chini ulisomea masomo yapi na ulifaulu vipi.
Kufaulu sio tatizo ila mpaka kufikia Degree nikwamba kuna writting Researches nyingi umefanya tena kwa lugha ya kiingereza.

Mie sikushauri hilio,ningekushauri uongeze lugha ya Ziada kulingana na soko la sasa la ajira.
Jaribu ku take a step ahead kwa kusome labda Spanish,Italian,German etc.
Na pia Lugha ya Kichina sasa hivi ipo kwenye soko sana na itakusaidia kama wewe degree holder

Naamini wewe sio kwamba hujui Kuongea na kuandika,ila tatizo lako ni inferiority complex,acha woga na hofu.
Mie nakumbuka wale ambao shuleni tulikuwa tukiwaona machepele kwa kuchapia kiingereza ndio mwisho wake wakawa waakali sana wa lugha hiyo baada ya kuchekwa sana,na wao bila kuona aibu vile vicheko ndio wao wanaongeza speed.
Natumai kila mtu amewahi kukumbana na watu aina hii mashuleni.Muhim ni kutoa aibu na kujiamini na kukubali kukosolewa.

Mfano hai:- Mie.Naongea na kuandika Kiingereza ambapo nimejua zamani,Spanish na Italian nimejua kwenye kazi hizi za utalii,na nilichapia sana,na ukichapia kwa mzungu ndio raha hasa,maana anakuelewa hivyo hivyo then baada ya miaka miwili tu unakuwa mkali sana.Muhim ni kutoa aibu na ufuatiliaji.

Kiarabu ndio naanza kidogodo,maana mie sioni aibu,wanangu ni wazuri sana kwenye kiarabu sasa na mie ni Jiwe kabisaa,sijui lolote.Sasa siku moja nikawaambia jamani eee mie sijui kiarabu nataka mnifundishe,walicheka sana.Na kila mmoja alikuwa na shauku ya kunifundisha.Maana last born akitoka shuleni tu ana pass the lesson to me.Na ndio naanza kuchapiachapia sasa,ila hopefully in two years to come nitakuwa vizuri kwa mawasiliano ya kawaida

Aibu ndio adui wa maendeleo yetu vijana na kuogopa kuthubutu.

Mfano Wa Pili:-Mke wangu mie ni form 4,lugha alikuwa hana.Watoto wangu ni wawili(10 and 7 yrs) na wote wapo International School.
Wife alinibana sana nimfundishe kiingereza ili watoto wasije wakamsumbua,sasa namie nilikuwa busy wakati huo.
Alichofanya wife ni kwamba wale wale watoto ndio aliwaomba wamfundishe,ikawa full kuchapia in house.
Ila unajua mtoto kama umemlea vizuri anakuwa na upeo mkubwa sana,sasa wao hata kama mama yao akikosea humuoni hata mmoja kucheka,ila mama yao ndio huanza kucheka kisha wao wanamuambia mama utajua tu na kumpa moyo.

Sasa uliza leo hii mama yao yupo vipi.Ni kwamba anauweza mzuri sana wa kiingereza cha kuongea na kuandika.
Juhudi yake ikanipa moyo,ndio mwaka jana nikaamua nimfundishe Spanish Language,na yupo vizuri kwa mawasiliano ila bao speed haijakaa vizuri.

Narejea tena,Aibu na uoga wa kuthubutu ndio tunapokwama,na hakuna wa kuitoa aibu hiyo zaidi ya wewe mwenyewe.
Mie sikufika Elimu ya Chuo kikuu ila kama ningefika huko,basi naona kama una degree then una lugha tatu kichwani kama mie,ni ngum sana kukosa kazi kwa ajira za sasa kama huna tamaa ya kulipwa mamilioni.
Ila wengie Degree holders,wanajua Kiingereza tu,kajitahidi sana Kifaransa.

Tijitume,tukubali na tuthubutu



I real apreciate what u say!!!!
 
Shahada chuo Kikuu?
Unataka English Improvement Course?

Mbona unanitisha mkuu,huku chini ulisomea masomo yapi na ulifaulu vipi.
Kufaulu sio tatizo ila mpaka kufikia Degree nikwamba kuna writting Researches nyingi umefanya tena kwa lugha ya kiingereza.

Mie sikushauri hilio,ningekushauri uongeze lugha ya Ziada kulingana na soko la sasa la ajira.
Jaribu ku take a step ahead kwa kusome labda Spanish,Italian,German etc.
Na pia Lugha ya Kichina sasa hivi ipo kwenye soko sana na itakusaidia kama wewe degree holder

Naamini wewe sio kwamba hujui Kuongea na kuandika,ila tatizo lako ni inferiority complex,acha woga na hofu.
Mie nakumbuka wale ambao shuleni tulikuwa tukiwaona machepele kwa kuchapia kiingereza ndio mwisho wake wakawa waakali sana wa lugha hiyo baada ya kuchekwa sana,na wao bila kuona aibu vile vicheko ndio wao wanaongeza speed.
Natumai kila mtu amewahi kukumbana na watu aina hii mashuleni.Muhim ni kutoa aibu na kujiamini na kukubali kukosolewa.

Mfano hai:- Mie.Naongea na kuandika Kiingereza ambapo nimejua zamani,Spanish na Italian nimejua kwenye kazi hizi za utalii,na nilichapia sana,na ukichapia kwa mzungu ndio raha hasa,maana anakuelewa hivyo hivyo then baada ya miaka miwili tu unakuwa mkali sana.Muhim ni kutoa aibu na ufuatiliaji.

Kiarabu ndio naanza kidogodo,maana mie sioni aibu,wanangu ni wazuri sana kwenye kiarabu sasa na mie ni Jiwe kabisaa,sijui lolote.Sasa siku moja nikawaambia jamani eee mie sijui kiarabu nataka mnifundishe,walicheka sana.Na kila mmoja alikuwa na shauku ya kunifundisha.Maana last born akitoka shuleni tu ana pass the lesson to me.Na ndio naanza kuchapiachapia sasa,ila hopefully in two years to come nitakuwa vizuri kwa mawasiliano ya kawaida

Aibu ndio adui wa maendeleo yetu vijana na kuogopa kuthubutu.

Mfano Wa Pili:-Mke wangu mie ni form 4,lugha alikuwa hana.Watoto wangu ni wawili(10 and 7 yrs) na wote wapo International School.
Wife alinibana sana nimfundishe kiingereza ili watoto wasije wakamsumbua,sasa namie nilikuwa busy wakati huo.
Alichofanya wife ni kwamba wale wale watoto ndio aliwaomba wamfundishe,ikawa full kuchapia in house.
Ila unajua mtoto kama umemlea vizuri anakuwa na upeo mkubwa sana,sasa wao hata kama mama yao akikosea humuoni hata mmoja kucheka,ila mama yao ndio huanza kucheka kisha wao wanamuambia mama utajua tu na kumpa moyo.

Sasa uliza leo hii mama yao yupo vipi.Ni kwamba anauweza mzuri sana wa kiingereza cha kuongea na kuandika.
Juhudi yake ikanipa moyo,ndio mwaka jana nikaamua nimfundishe Spanish Language,na yupo vizuri kwa mawasiliano ila bao speed haijakaa vizuri.

Narejea tena,Aibu na uoga wa kuthubutu ndio tunapokwama,na hakuna wa kuitoa aibu hiyo zaidi ya wewe mwenyewe.
Mie sikufika Elimu ya Chuo kikuu ila kama ningefika huko,basi naona kama una degree then una lugha tatu kichwani kama mie,ni ngum sana kukosa kazi kwa ajira za sasa kama huna tamaa ya kulipwa mamilioni.
Ila wengie Degree holders,wanajua Kiingereza tu,kajitahidi sana Kifaransa.

Tijitume,tukubali na tuthubutu
Ngugu zangu, hili tatizo la kuhitaji kujua lugha hii kwa kina sio kwa huyo jamaa tu hata mimi pia nina hitaji kama lake ila kwa bahati mbaya mkoa niliopo (Babati, Manyara) sijaona watalaam wanaotoa huduma hii kiufasaha.
Jamani naomba nieleweke hivi, kama jinsi mtoa mada alivyoeleza, suala hapa sio kuongea tu kiingereza, bali nataka niongee kikwelikweli kiasi kwamba tofauti iwe ndogo kati yangu na mzungu mwenyewe mwenye lugha hiyo.
 
Kwa levo uliyonayo hustahil kutafuta pa kufundishwa kuongea, utashangaliwa, tatzo huna system ya kuingea mara kwa mara, So tafuta rafiki hata kweny mtandao ambae hajui Kiswahil uwe unaongea nae sana na kuchat
 
Kwa levo uliyonayo hustahil kutafuta pa kufundishwa kuongea, utashangaliwa, tatzo huna system ya kuingea mara kwa mara, So tafuta rafiki hata kweny mtandao ambae hajui Kiswahil uwe unaongea nae sana na kuchat

Ndio ashakupata...:frusty:
 
nakushauri nenda chang'ombe maduka mawili kwa USTADHI (shabani omary) hakika hutajutia kutoa pesa yako.
 
Back
Top Bottom