bureau de change umekosa mkuu?Habari za weekend wana JF. I hope mpo poa.
Wajuzi wa haya mambo naomba msaada wenu, ni wapi naweza change Bahrain Dinar to Tanzania Shillings?
Nimejaribu kwenda bank zetu hizi za ndani lakini haikuwezekana. Naombeni msaada wenu ni wapi naweza badili hii pesa.
si busara sana kutoa majibu kama haya ikiwa hauelewi ni bora kukaa kimya.Nenda Bahrain utabadilisha kwa haraka.
Bureau de change nilishaenda, the response was hawabadili hiyo pesa.bureau de change umekosa mkuu?
uko wapi kwanza tujue tunakuelekeza wapi
Asante mkuu.Nenda Zanzibar
Asante kwa muongozo mkuu.Ni ngumu sijui western union kama wanaweza. Au fanya connection uzitume nchini bahrain wao wakupe dollar kupitia account yako
Ingia google tafuta contact za BOT ya kule ongea nao kwa simu,waeleze shida yako,zitume kwa DHL,fedex au kampuni iliyopo kule.Kisha wao watakutumia kwa Western Union ktk dollar,au currency yeyetoAsante kwa muongozo mkuu.
Ila naomba unipe ABC za huu mchakayo wa kuzituma ndio unakuaje
Mlimani city pale nadhani wanabadili burea jina lake ni kadoo sema rate inaweza kuwa chini na uhalisia.Bureau de change nilishaenda, the response was hawabadili hiyo pesa.
Kwa Sasa nipo Dar es Salaam mkuu.
Asante Sana Mkuu.Ingia google tafuta contact za BOT ya kule ongea nao kwa simu,waeleze shida yako,zitume kwa DHL,fedex au kampuni iliyopo kule.Kisha wao watakutumia kwa Western Union ktk dollar,au currency yeyeto
Shukrani Sana.Mlimani city pale nadhani wanabadili burea jina lake ni kadoo sema rate inaweza kuwa chini na uhalisia.
jaribu kupitia hapo kesho