Wapi mtu anaweza invest mtaji wa more than 1 Bilion for great return profits hapa Tanzania?

when you talk about investment with high returns it also goes with the risk.with 1 bilion Tsh once spoken it looks big but once invested it may not show result in near futre for example real estate is good business but slow in return.Farming is good but its volatile?as an investor you need to weigh your options?Looking at tanzania the opportunities are huge you only need to chose an industry and venture correctly for there are no barriers look at azam and how he has taken a share of the cola market.there is nothing im[possible just do you research

Hiyo ni minimum amount anayo taka ku invest
 
wana jamvi, kuna mtu anataka ku invest tanzania lakini hataki invest ndogo ndogo walau anataka sehemu ya kuwekeza ela isiyo pungua tshs 1 billion. Je sehemu gani anaweza wekeza na akawa sure kupata faida nzuri?

Vipi mkuu kuhusu huyo muwekezaji, alifanikiwa kupata fursa ya kuwekeza?
Kama hajapata tupe mrejesho ili tumpe fursa zilizopo sasa.
 
Back
Top Bottom