elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
wana jamvi, kuna mtu anataka ku invest tanzania lakini hataki invest ndogo ndogo walau anataka sehemu ya kuwekeza ela isiyo pungua tshs 1 billion. Je sehemu gani anaweza wekeza na akawa sure kupata faida nzuri?