Nimemis miziki ya mduara kama ile ya wana njenje nataka w/end hii nijirushe nayo na jidada mmoja mwenye pesa zake (sijui ndo za dili za ofisini)
Naomba mwenye kujua anijuze mapemaaaaaaaa, ikiwezekana akaribie mida ya saa 2
teh teh teh kweli makubwa wewe na tanga tanga na wewe
Nimemis miziki ya mduara kama ile ya wana njenje nataka w/end hii nijirushe nayo na jidada mmoja mwenye pesa zake (sijui ndo za dili za ofisini)
Naomba mwenye kujua anijuze mapemaaaaaaaa, ikiwezekana akaribie mida ya saa 2
Na ninavyokufahamu kaka, hilo jidada ungependa liwe ka kihaya!!!!!haya tenda hiyo nyie mijidada....................
Kabsaaaaaaaa mkuu acha hawa majidada ni hatari katika ile starehe ya mwisho
Yaaani
Piga kilaji
Cheza dance, muziki, disco
Ila baada ya yoote starehe ya mwisho ni majamboz tuu
Ndo pbs zenu hizo. kumbe ulikuwa mtego ili upate wa kuvinjari naye hapo umechemsha..mi nilizani ni dansi tu hafu kila mtu zake 50 km ndo hvo akuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu:nono::nono: