Matukutuku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 269
- 126
Wakuu naulizia hospital nzuri ambayo inakushauri vizuri namna ya kupunguza pressure yako. Kwan naona hoapital nyingine ni kama wanakupa madawa tu unywe.
Dawa unakunywa lakin still pressure bado iko juu sasa sijui ni nini hii.
Natanguliza shukrani
Dawa unakunywa lakin still pressure bado iko juu sasa sijui ni nini hii.
Natanguliza shukrani