hi jf members!
heading hapo juu inajieleza, nakumbuka mwaka jana father x-mas kipindi kama hiki alikuwa anagawa sana zawadi za x- mas.......kwa mliopokea nadhan mnakumbuka!!!
Nashangaa sasa hv yupo kimya tu, father x-mas tafadhali jitokeze watu tupo twasubiri hizo zawadi zako.....au umefulia father, basi toa hata taarifa ili tujue!!!
heading hapo juu inajieleza, nakumbuka mwaka jana father x-mas kipindi kama hiki alikuwa anagawa sana zawadi za x- mas.......kwa mliopokea nadhan mnakumbuka!!!
Nashangaa sasa hv yupo kimya tu, father x-mas tafadhali jitokeze watu tupo twasubiri hizo zawadi zako.....au umefulia father, basi toa hata taarifa ili tujue!!!