Wapi/ Eneo gani kwa Dar wanapima madini na kujua aina yake?

African Minerals and Geosciences Centre (AMGC) wapo Kunduchi.

African Minerals and Geosciences Centre 022 265 0347 https://maps.app.goo.gl/Gc2hLnRvaZ16Y2ho6


Laboratory Services
  • Analysis of Precious & base Metals
  • Water Analysis
  • Wet Chemistry
  • Mineralogical and Petrological
  • Gemmological and Gem cutting
  • Sample Preparation and Ore Testing
  • Industrial Minerals Applications & Ceramics
Mkuu shukrani Sana! Nilifanikiwa kwenda hapo AMGC nimepata maelezo mazuri!! mambo yatakwenda poa
 
Biashara ya madini/mawe ni biashara yenye janjajanja sana.
Nenda kunduchi opp na gate la jeshi mbele kidogo utaona Bango Lao upande wa kulia kama unataka mjini
 
Biashara ya madini/mawe ni biashara yenye janjajanja sana.
Nenda kunduchi opp na gate la jeshi mbele kidogo utaona Bango Lao upande wa kulia kama unataka mjini
Budda ungesoma kidogo , jamaa alishaenda, amerudi na sasa ametoa Hadi mrejesho. Na alienda hapo unaposuggest Leo hii.
 
Biashara ya madini/mawe ni biashara yenye janjajanja sana.
Nenda kunduchi opp na gate la jeshi mbele kidogo utaona Bango Lao upande wa kulia kama unataka mjini
Yap yap Nilienda pale African Minerals and Geosciences centre(AMGC) Kunduchi!! ishu zilikwenda poa!! pale hakuna janja janja
 
Back
Top Bottom