Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Jamani Edil Ganzel nimemkumbuka huyu Gwiji wa tamthilia. Nimekumbuka moja ya tamthilia zake: Kama simu ya Kifo, Kijasho chembamba na nyingine......
Jamaa alikuwa mzuri sana enzi hizo tukiwa bado wadogo. Kuna kipindi kama nilisikia hayuko nasi tena.........?
Ni kweli jamani? Kama kuna mwenye habari zake kamili.
Jamaa alikuwa mzuri sana enzi hizo tukiwa bado wadogo. Kuna kipindi kama nilisikia hayuko nasi tena.........?
Ni kweli jamani? Kama kuna mwenye habari zake kamili.